Walioandika matusi Necta kufuatiliwa shuleni

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limeweka wazi kuwa litawafuatilia wanafunzi 19 walioandika matusi kwenye mitihani ya upimaji ya kitaifa ya darasa la nne na kidato cha pili iliyofanyika 2025 na kuhakikisha shule zinawachukulia hatua za kinidhamu. Hatua hiyo inakuja kufuatia kukithiri kwa vitendo vya watahiniwa kuandika matusi kwenye mitihani, ambapo imeelezwa kuwa…

Read More

Tulia agusa wanafunzi 3,000 waishio mazingira magumu

Mbeya. Mbunge wa Uyole Mkoa wa Mbeya, Dk Tulia Ackson ametoa mahitaji mbalimbali zikiwepo sare za shule kwa wanafunzi 3,000,waishio mazingira magumu katika kata 13 jimboni kwake. Hatua hiyo imetajwa ni kuwezesha kundi hilo kupata elimu bora kama jamii nyingine na kuweka bayana mikakati yake ya kuwezesha sekta ya elimu hususani kutoa kompyuta kwa walimu….

Read More

Abate Temu: Kuweni Majasiri kusema ukweli, kupigania haki

Dar es Salaam. Abate wa Abasia ya Ndanda wa Kanisa Katoliki, Christian Temu amesema Wakristo wanapaswa kutambua kuwa woga si jambo la kuchagua, bali wanawajibika kuwa wajasiri, kupenda kusema na kusimamia ukweli na kuzungumzia masuala ya haki bila kuogopa. Abate Temu amesema hayo ni kwa sababu haki na amani ni matunda ya Kimungu yasiyotengenezwa na…

Read More

Habari njema kwa waliofeli mtihani kidato cha pili 2025

Dar es Salaam. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknoloya imetoa ahueni kwa wanafunzi waliofeli katika mitihani yao ya kidato cha pili na sasa badala ya kukariri darasa, watafanyiwa programu maalumu huku wakiendelea na kidato cha tatu. Ahueni hiyo imetangazwa leo Jumamosi Januari 10, 2026 na Kamishna wa Elimu, Dk Lyabwene Mtahabwa katika taarifa yake aliyoitoa…

Read More

 Waliondika matusi Necta kufuatiliwa shuleni

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limeweka wazi kuwa litawafuatilia wanafunzi 19 walioandika matusi kwenye mitihani ya upimaji ya kitaifa ya darasa la nne na kidato cha pili iliyofanyika 2025 na kuhakikisha shule zinawachukulia hatua za kinidhamu. Hatua hiyo inakuja kufuatia kukithiri kwa vitendo vya watahiniwa kuandika matusi kwenye mitihani, ambapo imeelezwa kuwa…

Read More

Pamba yazindua jezi baada ya miezi mitano

HATIMAYE Klabu ya Pamba jiji ya Mwanza imezindua rasmi jezi za msimu wa  2025/2026 na uuzaji wake utaanza leo katika mkoa wa Mwanza, baada ya subira ya mashabiki ya takribani miezi mitano tangu Ligi Kuu Bara ilipoanza Septemba 17. Pamba imezindua uuzaji wa jezi hizo  Mwanza, leo Januari 10, 2026, katika duka lililopo mtaa wa…

Read More