Dk Mwinyi: Miundombinu ya elimu inakidhi matakwa karne ya 21

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amesema wanajivunia miundombinu ya elimu inayojengwa Zanzibar kwenda sambamba na matakwa ya karne ya sasa ya sayansi na teknolojia. Hivyo, amesema serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya kujifunzia na kufundishia hatua itakayowawezesha wanafunzi kuongeza ufanisi na kufanya vizuri zaidi katika masomo yao. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo…

Read More

Rais Samia akutana na Taifa Stars Dar

RAIS Samia Saluhu Hassan ameipongeza timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kwa kufika 16 bora ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), inayoendelea huko Morocco. Stars iliyokuwa inashiriki mashindano hayo kwa mara ya nne ilitolewa na Morocco kwa kuchapwa bao 1-0, ingawa imeweka rekodi ikiwa ni mara ya kwanza inafika hatua hiyo kwani mara tatu…

Read More

Damaro atibua hesabu za Pedro Yanga

ILE kadi nyekundu aliyoonyeshwa kiungo wa Yanga, Mohamed Damaro katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 dhidi Singida Black Stars, imemuumiza kichwa kocha wa kikosi hicho, Pedro Goncalves. Damaro alionyeshwa kadi hiyo baada ya kumchezea rafu kiungo wa Singida, Morice Chukwu ambaye naye aliadhibiwa kwa kadi hiyo. Tukio hilo lilitokea dakika ya…

Read More

Suala la posho Stars lilivyomshtua Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa alishtushwa na taarifa za mgomo wa wachezaji wa Taifa Stars kabla ya Fainali za AFCON 2025 kutokana na madai ya posho. Akizungumza katika hafla ya kuipongeza Taifa Stars, Rais Samia amesema kuwa taarifa hizo hakuzipokea vizuri lakini bahati nzuri mgomo huo haukufanyika. “Jicho…

Read More

Baada ya kugomea panga, Conte abadilishiwa majukumu

KUTOKANA na majeraha aliyopata Aziz Andabwile ambaye Kocha Pedro Goncalves alikuwa akimtumia eneo la beki wa kati, sasa jukumu hilo amempa Moussa Bala Conte. Conte ambaye naye ni kiungo mkabaji kama ilivyo kwa Andabwile, katika mechi mbili zilizopita za Kombe la Mapinduzi 2026 dhidi ya TRA United na Singida Black Stars, alicheza beki wa kati…

Read More

Lameck Kanyong ala kiapo Mashujaa

LICHA ya kukabiliana na ushindani mkali wa namba katika kikosi cha Mashujaa FC, kipa Lameck Kanyonga bado ana imani atapata nafasi ya kucheza na hawezi kuikimbia changamoto hiyo. Kanyonga amejikuta katikati ya ushindani mzito dhidi ya Erick Johola na Suleman Munthary tangu aliposajiliwa Mashujaa misimu miwili iliyopita akitokea Mbeya City. Msimu huu, Johola amekuwa namba…

Read More

Tanzania Prisons yampigia hesabu Lyanga

MAAFANDE wa Tanzania Prisons wameanza mazungumzo na Singida Black Stars kwa ajili ya kupata saini ya Ayoub Lyanga kwa mkopo katika dirisha hili dogo la usajili ikiwa ni pendekezo la Kocha Mkenya Zedekiah ‘Zico’ Otieno. Awali ilielezwa mabosi wa Singida walikuwa na mpango wa kumtoa Lyanga kwa mkopo katika dirisha kubwa la usajili, ingawa dili…

Read More

TANZANIA YATAJA MAFANIKIO YAKE YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KATIKA JUKWAA LA KIMATAIFA LA IRENA -ABU DHABI

……….. 📌Upatikanaji wa Nishati Safi ya Kupikia waongezeka zaidi ya mara tatu ndani ya kipindi cha miaka minne pekee 📌Yasema ipo tayari kushirikiana na Taasisi za Kimataifa zinazotoa ufadhili kwa nia ya kupunguza matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia hasa barani Afrika 📌Yatumia Jukwaa la Kimataifa la IRENA lenye wanachama 171 kueleza fursa za…

Read More

Rais Samia aeleza sababu za kumteua Profesa Kabudi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, ameweka wazi sababu za kumteua Profesa Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Ikulu (Kazi Maalumu). Kabla ya uteuzi, Profesa Kabudi alikuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Rais amesema uamuzi huo umetokana na mahitaji mapya ya uendeshaji wa Serikali katika mazingira ya siasa…

Read More