Mtunisia Azam anukia Irak | Mwanaspoti
KLABU ya Azam huenda ikaachana na winga Mtunisia Baraket Hmidi, baada ya mchezaji huyo kushindwa kulishawishi benchi la ufundi la timu hiyo chini ya Kocha Mkongomani Florent Ibenge tangu asajiliwe. Nyota huyo aliyejiunga rasmi na Azam, Agosti 16, 2025, akitokea CS Sfaxien ya kwao Tunisia, inadaiwa ataondolewa katika dirisha hili dogo la Januari, ambapo hadi…