Wawili Yanga watupwa nje, Mudathir arejea kikosini
JANA usiku Yanga ilikuwa uwanjani kucheza mechi ya nusu fainali katika Kombe la Mapinduzi 2026 dhidi ya Singida Black Stars, huku taarifa njema zikiwa ni kurejea kwa kiungo Mudathir Yahya. Wakati Mudathir akirejea, viungo wawili wa timu hiyo, Aziz Andabwile na Lassine Kouma ilibidi wapewe mapumziko ya muda kutokana na kuumia katika mechi zilizopita za…