Yanga yaichapa Singida BS, yaifuata Azam fainali Mapinduzi
YANGA imefuzu fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 baada ya kuifunga Singida Black Stars bao 1-0 katika mechi ya nusu fainali iliyochezwa leo Januari 9, 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja. Maxi Nzengeli ndiye aliyefunga bao hilo dakika ya 54 baada ya kuitumia vizuri pasi ndefu ya mpenyezo iliyopigwa na Pacome Zouzoua kutokea…