RIPOTI 15 ZA TEITI ZAWEKWA WAZI KUONYESHA MALIPO YA MAKAMPUNI NA MAPATO YA SERIKALI
Na.Mwandishi Wetu-DAR ES SALAAM Taasisi ya Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi Asilia (TEITI) imesema imeendelea kuhimiza uwazi na uwajibikaji katika usimamizi wa rasilimali za nchi, ili kuhakikisha wananchi wananufaika na shughuli za uchimbaji na utafutaji. Akizungumza jijini Dar es salam jana katika mahojiano maalum,Katibu Mtendaji wa TEITI, Bi. Mariam Mgaya, amesema…