Mabasi mapya 49 ya Udart kuingizwa barabarani

Dar es Salaam. Mabasi 49 ya usafiri wa haraka maarufu mwendokasi yaliyoingia nchini yameanza kupakuliwa bandarini, huku matarajio yakiwa kuanza kazi ndani ya mwezi huu. Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Uendeshaji wa Mabasi Yaendayo Haraka (Udart), Gabriel Katanga, amesema hayo leo Ijumaa Januari 9, 2026 alipozungumza na Mwananchi kuhusu hatua iliyofikiwa ya mabasi hayo kuingizwa…

Read More

Serikali yaongeza muda wa usajili taasisi zinazohifadhi taarifa binafsi

Arusha. Serikali imetangaza kipindi cha nyongeza cha miezi mitatu kwa taasisi za umma na binafsi zinazokusanya, kuchakata au kuhifadhi taarifa binafsi ambazo bado hazijakamilisha usajili wa hiari, hatua inayolenga kutoa fursa ya mwisho kwa taasisi hizo kutimiza matakwa ya kisheria. Aidha, Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), imeelekezwa kuanza maandalizi ya utekelezaji wa ukaguzi…

Read More

Naby Camara amebeba zote | Mwanaspoti

MCHEZAJI mwenye uwezo wa kucheza safu nzima ya ulinzi na kiungo, Naby Camara amefanya kitu cha kipekee kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inayokwenda kukamilika Januari 13, 2026 kwa kuchezwa fainali kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba. Camara anayetumia zaidi mguu wa kushoto kusakata kabumbu, hadi kufikia nusu fainali kabla ya jana haijahitimishwa hatua hiyo,…

Read More

Myanmar inapigia kura ‘kifuniko’ cha kuimarisha utawala wa kijeshi, mtaalamu huru wa haki za binadamu anasema – Global Issues

Alhamisi kauli kutoka kwa Tom Andrews, UN Baraza la Haki za Binadamu-teuliwa Ripota Maalum kuhusu haki za binadamu nchini Myanmarinaimarisha mapema maonyo kutoka kwa maafisa wakuu wa Umoja wa Mataifa kwamba kura hizo hazina uaminifu wowote wa kidemokrasia. Awamu ya kwanza ya upigaji kura tarehe 28 Disemba ilifichua kile alichokitaja kama “ujanja ulioratibiwa na junta”…

Read More

MAKAMU WA PILI WA RAIS KUZINDUA MASHINDANO YA QUR’AAN

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano makubwa zaidi ya Qur’aan Tukufu duniani yanayoandaliwa na Taasisi ya Alhikma Foundation. Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika mwaka 2026 kwa mara ya 26 tangu kuanzishwa kwake, yakihusisha washiriki kutoka mataifa mbalimbali duniani. Akizungumza Leo jijini Dar es…

Read More

Taarifa Zote za Michezo Zipo Meridianbet Sport Portal

MERIDIANBET Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…

Read More

Cheza Win&Go Leo, Rejesha 10% ya Hasara Yako

MERIDIANBET inaendelea kukupa faraja kwa kukurudishia sehemu ya hasara kwa kila dau utakalocheza na likapoteza kupitia mchezo wa Win&Go. Kila mchezaji atakayepoteza Sh. 1,000 au zaidi katika raundi yoyote ya mchezo atarudishiwa 10% ya hasara hiyo kama Win&Go Bonus siku inayofuata, kwa hadi Sh. 15,000 kwa siku. Win&Go ni mchezo wa bahati nasibu ulioandaliwa na Expanse Studios,…

Read More