Dili zikitiki Tanzania Prisons kazi mnayo!

VIONGOZI wa timu ya Tanzania Prisons wanaendelea na vikao vya tathmini mkoani Dodoma, ili kupata picha ya kipi wakifanye katika usajili wa dirisha dogo litakalofungwa Januari 30, lakini kama michongo yao itatiki wapinzani waliopo katika Ligi Kuu Bara itabidi wajipange mapema. Prisons imecheza mechi saba imeshinda mbili, imetoka sare moja na imefungwa nne, imekusanya pointi…

Read More

Simba yamvutia waya Sillah | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya Mwanaspoti kuripoti aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Gibril Sillah, amevunja mkataba na ES Setif ya Algeria, uongozi wa Simba umemvutia waya ili aweze kurudi Ligi Kuu Bara. Nyota huyo alijiunga na kikosi hicho na kusaini mkataba wa hadi Juni 30, 2027, ingawa makubaliano ya kuusitisha yamefikiwa, huku ikidaiwa sababu kuu…

Read More

Yanga vs Singida BS utamu upo hapa

WATU wanajiuliza itakuwaje mechi ya Yanga dhidi ya Singida Black Stars leo Ijumaa katika nusu fainali ya pili ya Kombe la Mapinduzi 2026 itakayochezwa saa 2:15 usiku kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja. Hiyo ni baada ya jana Alhamisi kushuhudia nusu fainali ya kwanza katika Kombe la Mapinduzi 2026 kati ya Azam na Simba….

Read More

Nyota Azam FC huyoo Namungo

UONGOZI wa Namungo uko katika hatua za mwisho za kuipata saini ya beki wa kati wa Azam FC, Ali Hassan Chamulungu kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu, baada ya mazungumzo chanya kati ya pande mbili, ili nyota huyo apate nafasi zaidi ya kucheza. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Namungo, umeliambia Mwanaspoti mazungumzo na…

Read More

Mapigano yaongezeka katika Aleppo nchini Syria na jimbo la Jonglei la Sudan Kusini, njaa kali nchini Niger – Masuala ya Ulimwenguni

Mapigano kati ya wanajeshi wa serikali na vikosi vya wakurdi yameongezeka katika siku za hivi karibuni na makumi ya maelfu ya watu wamelazimika kuyahama makazi yao. Wawakilishi wa Ofisi ya Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu kuhusu Syria wanaendelea kuwasiliana na pande zote husika, Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric. aliwaambia waandishi wa habari mjini…

Read More

Serikali kuongeza eneo la malisho ya mifugo

Tabora. Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na Wizara ya Ardhi inaongeza maeneo maalumu ya malisho kwa ajili ya mifugo kutoka hekta milioni 3.4 zilizokuwapo hadi kufikia hekta milioni sita ifikapo mwaka 2030. Hatua hiyo ni pamoja na kuzalisha mbegu za kisasa za malisho ambazo zitauzwa kwa bei ya ruzuku ya Sh1,000 kwa kilo…

Read More

Kula vyakula hivi unukie vizuri kiasili

Mwanza. Je, unajua chakula unachokula kinaweza kuamua jinsi mwili wako unavyonukia? Iwapo unashughulika na harufu mbaya ya mwili au pumzi isiyovutia, suluhisho linaweza kuwa ndani ya sahani yako ya chakula. Sayansi inaonyesha kuwa vyakula fulani vinaweza kusaidia mwili kupunguza bakteria wanaosababisha harufu mbaya na kukufanya harufu nzuri au mtu anukie vizuri kwa njia ya asili….

Read More