Basi lakutwa na shehena ya skanka

Dar es Salaam. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imewataka wamiliki wa vyombo vya moto kuhakikisha havitumiki kusafirisha dawa za kulevya na kuwa haitasita kumchukulia hatua mmliki endapo chombo chake kitakutwa na dawa hizo haramu. Onyo hilo limekuja kufuatia kuongezeka kwa matukio ya kukamatwa dawa za kulevya zinazosafirishwa kwa njia ya…

Read More

Wazazi wakumbushwa kuwasimamia watoto kielimu

Unguja. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu Zanzibar, Dk Saada Mkuya Salum amesema maendeleo ya elimu kwa mtoto sio jukumu la mwalimu pekee, hivyo wazazi wanapaswa kuwasimamia watoto kila hatua kupata haki yao ya elimu. Amesema ushirikiano baina ya wazazi na walimu ndiyo msingi mkuu wa mafanikio ya watoto, endapo wazazi na walezi watakuwa…

Read More

TCAA Yaendelea Kutoa Elimu ya Usafiri wa Anga Kupitia Maonesho ya ZITF Zanzibar

  Afisa Muongozaji Ndege wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) Fadhil Nkomally akielezea jinsi huduma za Uongozaji Ndege zinavyofanyika kwa Mwananchi aliyefika katika Banda la TCAA katika Maonesho ya 12 ya Kimataifa ya Biashara Zanzibar, yanayoendelea kufanyika katika Kituo cha Maonesho kilichopo Dimani, Zanzibar. Mgeni akisaini kitabu cha katika Banda la TCAA katika Maonesho…

Read More

SHAURIMOYO NA LINDI HALI SHWARI, USAFI WA MAZINGIRA WABORESHA.

Mafundi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam DAWASA wamekamilisha kazi ya usafishaji miundombinu ya majitaka mtaa wa Shaurimoyo na Lindi Kata ya Kariakoo. Kukamilika kwa kazi hiyo kutaboresha Mazingira ya utendaji kazi kwa wafanyabiashara wa spea za magari katika mtaa huo kumaliza harufu iliyosababishwa na utiririkaji wa majitaka kiholela. Mamlaka…

Read More