Tume ya Jaji Chande yatua Mara, kukutana na waathirika, viongozi
Musoma. Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, imewasili mkoani Mara ambako itakutana na makundi mbalimbali ya jamii wakiwemo waathirika wa vurugu zilizotokea wakati huo. Tume hiyo inayoongozwa na Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mohamed Chande Othman, iliundwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa lengo la kubaini…