NLD yatoa mwelekeo huu baada ya tathmini ya uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Chama cha National League for Democracy (NLD), kimefanya kikao maalumu cha tathimini ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025, kwa lengo la kutathmini mwenendo wa uchaguzi huo na somo kwa mustakhabali wa chama hicho mbeleni. Kikao hicho kimefanyika ikiwa ni mkakati wa kufanya mchanganuo wa mafanikio yaliyopatikana pamoja na changamoto zilizojitokeza katika…

Read More

Mitandao ya kijamii ilivyogeuka uwanja wa ukatili

Dar es Salaam. Mitandao ya kijamii iliyokuwa ikisifika kuwa nyenzo yenye nguvu ya kuunganisha watu, kujieleza na kufungua fursa za kiuchumi, sasa inazidi kubadilika na kuwa uwanja wa uhasama kwa Watanzania wengi. Majukwaa ya kidijitali yaliyokuwa yakiahidi ujumuishaji, sauti kwa wote na ushiriki mpana, yamegeuka kuwa uwanja mpya wa unyanyasaji, matusi na unyonyaji, hali inayowaathiri…

Read More

Pedro agusa mkataba wa winga Yanga

BAADA ya winga wa Yanga, Denis Nkane kwenda TRA United kwa mkopo, kocha wa kikosi hicho, Pedro Goncalves ameufungua mkataba wa mzawa huyo akitaka kuangalia kiwango chake zaidi. Iko hivi. Nkane ambaye ameichezea Yanga kwa misimu minne mfululizo alitolewa kwa mkopo hivi karibuni akiwa amesaliwa na miezi sita ili kumalizana na klabu hiyo. Licha ya…

Read More

KATIBU MKUU CCM DK.MIGIRO AUNGURUMA DAR… ATOA MAELEKEZO UTOAJI MAELEKEZO

*Pia azungumzia nguvu ya wanachama walioko katika mashina,matawi *Asisitiza nafasi ya wazee katika kutoa elimu ya itikadi kwa vijana Na Said Mwishehe,Michuzi TV KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dk.Asha-Rose Migiro amesema kuna kila sababu ya kuhakikisha Chama hicho kinazingatia utaratibu wa kusikiliza maoni na ushauri kuanzia ngazi ya chini badala ya utaratibu wa maelekezo…

Read More

Ibenge achekelea Mtasingwa kurejea | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge ameonekana mwenye furaha zaidi baada ya kushuhudia kiungo wa timu hiyo, Adolf Mtasingwa, akirejea rasmi uwanjani baada ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani miezi kumi kutokana na majeraha ya kifundo cha mguu. Mtasingwa anayecheza nafasi ya kiungo mkabaji, mara ya mwisho kuonekana uwanjani ilikuwa Februari 15, 2025…

Read More

Kiwango cha Prince Dube chawaibua mastaa wawili Bongo

BEKI na nahodha wa Mtibwa Sugar, Oscar Masai amemtaja straika wa Yanga, Prince Dube kuwa ni hatari kwa kuwashughulisha mabeki uwanjani, akiufananisha uchezaji wake na staa wa zamani wa Simba, Emmanuel Okwi. Dube ambaye amekuwa akifanya vizuri akiwa na kikosi cha Yanga alikuwa na kikosi cha timu yake ya Taifa ya Zimbabwe kwenye michuano ya…

Read More

Askari wa JWTZ, raia watatu kortini kwa uhujumu uchumi

Moshi. Askari wawili wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na raia watatu wamefikishwa kortini mjini Moshi, wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi ya kukutwa na nyara za Serikali zenye thamani ya Sh591.3 milioni. Washtakiwa hao ni Sajenti Andrew Ndaga mwenye namba MT.76601 na Stesheni Sajenti Chumu Rajabu mwenye namba 76764 na raia ni Mzee…

Read More

Stars kutua kesho baada ya kuweka historia

TIMU ya Taifa ‘Taifa Stars’ leo Jumatano inatarajiwa kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere (JNIA), Dar es Salaam ikirejea nyumbani baada ya kuweka historia katika fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 huko Morocco. Katika michuano hiyo, Taifa Stars ilivuka hatua ya makundi kama moja ya timu nne bora zilizoshika…

Read More