Takukuru yatoa kauli mabilioni ya Wachina, 137 wakamatwa

Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kinondoni jijini Dar es Salaam katika operesheni maalumu imekamata raia wawili wa China wanaotuhumiwa kuhusika katika mtandao mkubwa wa uhalifu wa kifedha. Watuhumiwa hao wanajumuishwa kwenye matukio mbalimbali ikiwamo utakatishaji fedha, wizi wa taarifa za kadi za benki na uhujumu uchumi. Hayo…

Read More

Said Zanda atua JKT Tanzania

UONGOZI wa JKT Tanzania uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa mshambuliaji nyota Said Zanda ‘Ronaldo’ kutoka Bigman inayoshiriki Ligi ya Championship baada ya pande mbili kufikia makubaliano. Taarifa ambazo Mwanaspoti limezipata zinaeleza kwamba Zanda aliyeifungia mabao mawili Bigman msimu huu, amefikia makubaliano ya kujiunga na maafande, huku akiwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa…

Read More

Aga Khan yapata ithibati ya JCI kwa mara ya nne

Dar es Salaam. Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam imeendelea kuimarisha hadhi yake kama kinara wa kitaifa na kikanda katika ubora wa huduma za afya na usalama wa wagonjwa, baada ya kutunukiwa kwa mara ya nne mfululizo muhuri wa dhahabu wa ithibati kutoka Joint Commission International (JCI) ya Marekani. Ithibati ya JCI inatambulika kama…

Read More

Azam yajifungia na mashine | Mwanaspoti

AZAM FC ipo katika mazungumzo na mshambuliaji Ben Malango ambaye kocha Florence Ibenge anatamani uzoefu wake uongeze nguvu ndani ya timu. Malango ni Mkongomani ambaye amecheza Uarabauni katika timu kama Raja Casablanca na timu ya mwisho ni Qatar FC ambayo aliichezea msimu uliopita akiifungia mabao manne. Licha ya kwamba hana timu kwa sasa, lakini kumekuwapo…

Read More

Kauli za Trump zaendelea kutikisa dunia

Dar es Salaam. Wakati Rais wa Marekani, Donald Trump, akikiri wazi kuwa moja ya sababu zilizochochea operesheni ya kijeshi dhidi ya Venezuela ni mafuta, kiongozi huyo, ameendelea kutamani operesheni za kijeshi katika nchi zingine zikiwamo Colombia na Greenland. Trump, ameendelea kuzua mjadala wa kimataifa baada ya kudokeza uwezekano wa kuendeleza sera ya upanuzi wa ushawishi…

Read More

Wahimiza kushughulikia chanzo cha watoto wenye uhitaji

Bagamoyo. Wakati jamii ikikumbushwa kusaidia wahitaji ikiwamo watoto wanaoishi vituoni pia imetolewa rai kushughulikia mzizi wa changamoto inayosababisha kukosa malezi ya wazazi kisha kuishia mtaani. Sababu moja wapo iliyotajwa na msimamizi wa kituo cha kulelea watoto cha masista wa Passionist kiitwacho Kamelot kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani, Sister Aschariah Severine ni familia zinaoanzishwa bila malengo wala…

Read More

WANU AELEKEZA VETA MOSHI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA VIWANDA

    Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir,akipata maelezo mbalimbali kutoka kwa wakufunzi mara baada ya kutembelea  Chuo cha  VETA Moshi. Na.Mwandishi Wetu-MOSHI Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, ameielekeza VETA Moshi kuimarisha ushirikiano na makampuni na viwanda ili kuongeza fursa za ajira kwa wahitimu na…

Read More