Sikia hii ya Edgar William
BAO alilolifunga mshambuliaji wa Dodoma Jiji, Edgar William, juzi katika ushindi wa 1-0 dhidi ya JKT Tanzania, limemfanya kuweka raekodi ya kuwafunga maafande hao misimu miwili mfululizo, huku akiwa na timu mbili tofauti. Katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo jijini Dar es Salaam, Edgar alifunga bao hilo…