Nafasi ya Ushindi Ipo Meridianbet Leo

LEO hii ni siku nzuri kwako wewe kubashiri na wakali wa ubashiri Meridianbet. Mechi kibao za pesa zipo kwaajili yako hivyo suka jamvi lako la ushindi na uibuke bingwa. EPL kama kawaida inaendelea ambapo Crystal Palace atamleta kwake Fulham huku mara ya mwisho kukutana mwenyeji aliondoka na ushindi mnono. Meridianbet wameipa mechi hii Odds kubwa…

Read More

Mambo sita duru la kwanza Ligi Kuu Zanzibar 2025/26

WAKATI duru la kwanza katika Ligi Kuu Zanzibar likimalizika, mambo mbalimbali yamejitokeza ikiwamo kufungiwa kwa waamuzi, wachezaji, viongozi na hata mashabiki walioonekana kwenda kinyume cha utaratibu. Mwanaspoti linakuchambulia mambo sita yaliyojiri katika duru hilo la kwanza la Ligi Kuu Zanzibar inayoshirikisha timu 16. Waamuzi sita wa ligi hiyo wamekutana na adhabu ya kufungiwa kuchezesha baadhi…

Read More

Laki tano yaongeza mzuka kwa mastaa Mapinduzi Cup 2026

SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa) lina msemo wake maarufu ‘Play Fair, Be Positive’ ukiwa na maana kwamba ‘Cheza kwa Haki, Kuwa Chanya’. Sasa katika kuhakikisha mchezo wa mpira wa miguu unakuwa wa haki au kiungwana katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi 2026 yanayoendelea kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja, kuna zawadi ya Mchezaji…

Read More

10 wafariki dunia, 18 wajeruhiwa ajalini Morogoro

Morogoro. Watu 10 wamefariki dunia huku wengine 18 wakijeruhiwa katika ajali barabarani iliyohusisha basi la abiria aina ya Mitsubishi Fuso, mali ya Kampuni ya Bill Mawio, kugongana uso kwa uso na lori la mizigo aina ya Howo lenye tela, mali ya Kampuni ya Kikori. Magari yote mawili yaliteketea kwa moto baada ya ajali hiyo. Ajali…

Read More