Biashara chuma chakavu inavyoathiri miundombinu ya umeme

Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange, amesema licha ya Serikali kufanya uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya umeme, changamoto kubwa inayokwamisha juhudi hizo ni biashara ya chuma chakavu, ambayo imekuwa tatizo katika kulinda miundombinu hiyo. Kauli hiyo alitoa leo Januari 6, 2026 mbele ya Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi,…

Read More

Majonzi mapya kwa Polepole baada ya siku 92

Dar es Salaam. Zikiwa zimepita siku 92 tangu aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole alipotekwa na watu wasiojulikana, familia yake leo Jumanne, Januari 6, 2026, imefika katika nyumba aliyokuwa amepanga eneo la Boko Basihaya jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuhamisha mali zake na kuisafisha. Mbali ya kukusanya na kufungasha mali za…

Read More

Sababu kupanda bei ya samaki, dagaa mchele

Dar es Salaam.Uhaba wa samaki katika Soko la Kimataifa la Samaki la Feri jijini Dar es Salaam, umejitokeza kufuatia hali ya hewa ya upepo mkali baharini uliosababisha hata bei ya kitoweo hicho hususan dagaa mchele, kupanda bei. Jana, Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac) ilitoa tahadhari kwa wavuvi na wasafirishaji wa majini kuchukua hatua…

Read More

Balozi Kombo awahimiza vijana kuilinda amani ya nchi

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amewataka vijana nchini kuwa wazalendo kwa taifa lao na kuilinda amani kwani itakapotoweka ni vigumu kuirudisha. Balozi Kombo amesema hayo leo Januari 6, 2026, katika mahafali ya 28 ya wahitimu wa Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dk…

Read More

Uganda yatoa kongole utekelezaji bomba la mafuta ghafi

Tanga. Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda, Dk Ruth Nankabirwa ameipongeza Tanzania kwa hatua kubwa iliyofikiwa katika utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP). Mradi huo unatekelezwa kwa ushirikiano kati ya Tanzania na Uganda. Dk Nankabirwa ametoa pongezi hizo leo Jumanne, Januari 6, 2026 jijini Tanga, wakati…

Read More