Barker atoa kauli nzito, akijipanga kulipa kisasi kwa Azam
SIMBA na Azam zinakwenda kukutana Januari 8, 2026 kwenye nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi zikiwa zimepita takribani siku 32 tangu zikutane mara ya mwisho Ligi Kuu Bara na Azam kushinda 2-0. Hali hiyo imemfanya Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker kutoa kauli inayoonyesha anataka kulipa kisasi cha timu hiyo kupoteza wakati yeye hayupo. Nusu…