Simbu kushiriki Burji2Burji Half Marathon

MWANARIADHA wa Alphonce Simbu anatarajiwa kushiriki mbio za Burji2Burji Half Marathon zitakazofanyika Dubai, Februari 8, mwaka huu, akiwa miongoni mwa wanariadha maarufu wa kimataifa. Mbio hizo zitakuwa sehemu ya maandalizi yake kuelekea Boston Marathon mwezi Aprili zikimuwezesha kuendelea na ushindani wa kiwango cha juu. Simbu anaingia Dubai akiwa na hadhi ya bingwa wa dunia wa…

Read More

Hizi hapa sababu mabasi kuikwepa Stendi ya Magufuli

Dar es Salaam. Suala la baadhi ya mabasi ya mikoani kukwepa kuingia Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi cha Magufuli limekuwa mfupa mgumu huku wadau wa usafirishaji wakitaja sababu inayochangia. Wadau hao wametaja umbali wa stendi, mgongano wa kisheria na siasa kuwa ni miongoni mwa sababu za hali hiyo. Wadau hao…

Read More

STEM inavyoibua wanasayansi, wabunifu wa kesho

Kilichoanza kama wazo dogo takribani miaka tisa iliyopita sasa kimekua na kuwa jukwaa la kitaifa linalobadilisha namna vijana wa Kitanzania, hasa wasichana wanavyojihusisha na fani za sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati (STEM). Kwa nchi kama Tanzania, umuhimu wa masomo ya STEM ni mkubwa sana. Taifa linapojenga uchumi wa kisasa unaotegemea viwanda, teknolojia na maarifa, kunahitajika…

Read More