Mlandege tatizo wachezaji sio kocha
KOCHA msaidizi wa Mlandege, Sabri Ramadhan China amesema wachezaji wa kikosi hicho wameshindwa kuifanya kazi ipasavyo ndiyo sababu ya kuwa timu ya kwanza kuaga mashindano. Mlandege ambayo ni bingwa mtetezi wa Kombe la Mapinduzi, imeondoshwa kwa aibu kutokana na kupoteza mechi zote tatu za kundi A, ikifunga bao moja na kuruhusu nyavu zake kutikiswa mara…