WAZIRI KOMBO AITEMBELEA ZITF 2026 ZANZIBAR
::::::::::::: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ametembelea Maonesho ya 12 ya Kimataifa ya Biashara Zanzibar (ZITF) 2026 yanayoendelea katika Kituo cha Maonesho cha Zanzibar, Dimani. Maonesho hayo yalianza Disemba 29, 2025 yatamalizika Januari 16, 2026 ni maalum kwa ajili ya maadhimisho ya Miaka 62…