Januari hii ni zaidi ya ada, hadi vyakula havishikiki

Dar/mikoani. Ukiacha mzigo wa malipo ya ada za wanafunzi na gharama nyingine za maisha kila inapoanza Januari, mwaka huu hali imekuwa mbaya zaidi, kwani makali yamegusa hadi kwenye bei za vyakula. Si unga wa mahindi wala mchele pekee, dagaa na viazi mviringo, vyote vimepanda bei ndani ya Januari, hasa katika mikoa ya Dar es Salaam,…

Read More

Tanzania yatabiriwa medali ya dhahabu mbio za Nyika

SAFARI ya wanariadha wa kikosi cha timu ya taifa ya riadha ya Tanzania kushiriki mbio za dunia za Nyika imeiva baada ya kuagwa leo Januari 5, 2026 huku ikitabiriwa kurudi na medali ya dhahabu. Mashindano hayo yatafanyika Januari 10, 2026, Florida nchini Marekani, ambapo Tanzania itawakilishwa na wanariadha tisa ambao wanatarajiwa kuondoka kesho Jumanne wakiongozwa…

Read More

Januari hii ni zaidi ya ada, hadi vyakula vimepanda

Dar/mikoani. Ukiacha mzigo wa malipo ya ada za wanafunzi na gharama nyingine za maisha kila inapoanza Januari, mwaka huu hali imekuwa mbaya zaidi, kwani makali yamegusa hadi kwenye bei za vyakula. Si unga wa mahindi wala mchele pekee, dagaa na viazi mviringo, vyote vimepanda bei ndani ya Januari, hasa katika mikoa ya Dar es Salaam,…

Read More

DC Maswa akerwa uvamizi vyanzo vya maji, atoa onyo

Maswa. Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Dk Vincent Anney, amewaonya watu wanaovamia maeneo ya vyanzo vya maji na kufanya shughuli za kibinadamu, ikiwamo ukataji wa miti kwa ajili ya kuchana mbao. Ametoa onyo hilo kufuatia tukio la kukamatwa kwa watu wawili, Guyashi Njile na Kelvin January, na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mjini…

Read More

AFCON 2025 yambeba Alphonce Mabula

KIUNGO wa Shamakhi FC, Alphonce Mabula amesema kucheza michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) akiwa na kikosi cha Taifa Stars kumeanza kumpa uzoefu wa mechi za kimataifa na somo kwenye soka. Mabula aliyeitwa kwa mara ya kwanza kwenye kikosi cha Taifa Stars, alicheza mechi zote tatu za hatua ya makundi kwa dakika 90 akianza dhidi…

Read More