WATUMISHI MKALAMA WASIMAMISHWA KAZI KWA TUHUMA ZA MATUMIZI MABAYA YA OFISI NA UBADHIRIFU WA FEDHA UJENZI WA SHULE

Watumishi wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, mkoani Singida ambao ni Afisa Utumishi na Mhandisi wa Halmashauri hiyo wameelekezwa kusimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi na ubadhirifu wa fedha za miradi ya maendeleo. Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI anayeshughulikia Elimu, Mhe….

Read More

SERIKALI YAAINISHA ORODHA YA BIDHAA NA HUDUMA MIGODINI AMBAZO HAZIPASWI KUFANYWA NA WAGENI

……………… ▪️Ni utekelezaji wa maelekezo ya Mh Rais Samia juu ya ushiriki wa watanzania kwenye sekta ya madini ▪️Ni kupitia Marekebisho ya Kanuni ya Ushirikishwaji Watanzania Sekta ya Madini ▪️Manunuzi na Bidhaa Migodini Yafikia Shilingi Trilioni 5 mwaka 2024 ▪️Waziri Mavunde ataka Sekta Binafsi kuchangamkia fursa  Dodoma  Serikali kupitia Wizara ya Madini imetangaza rasmi orodha…

Read More

Usajili dirisha dogo, Mashujaa yamsikilizia Mayanga

MABOSI wa Mashujaa FC ya Kigoma bado wanakuna vichwa kuhusu usajili wa dirisha dogo, huku wakisisitiza kwamba wanasubiri ripoti ya benchi la ufundi ili kuwa na uhakika wa nini kifanyike wakati huu. Mashujaa FC imeanza vyema Ligi Kuu Bara msimu huu ikikamata nafasi ya nne ikiwa na alama 13 katika michezo tisa, huku ikiwa imeshinda…

Read More

HATUWADAI: Taifa Stars ilivyoaga AFCON kwa heshima

TAIFA Stars imehitimisha safari yake ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) katika hatua ya 16-Bora baada ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya timu Na.1 kwa ubora wa barani Afrika, Morocco katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Prince Moulay Abdellah mbele ya maelfu ya mashabiki waliofurika. Matokeo hayo, ingawa yanaumiza, hayaondoi ukweli kuwa Tanzania…

Read More