Starlink yasitisha huduma za intaneti Uganda
Kampala. Mtoa huduma wa intaneti ya setilaiti, Starlink, amesitisha upatikanaji wa mtandao wake wa kimataifa nchini Uganda. Hatua hiyo imesababisha vifaa vyote vya Starlink vilivyokuwa vinatumika nchini humo kusitisha kazi kuanzia Januari 1, 2026, kufuatia agizo la Tume ya Mawasiliano ya Uganda (UCC) kuhusu matumizi ya huduma za setilaiti zisizo na leseni. Katika barua ya…