Mambo ya Kuzingatia Kabla Hujaamua Kumtoa ‘out’ Umpendaye
Mambo ya Kuzingatia Kabla Hujaamua Kumtoa ‘out’ Umpendaye – Global Publishers Home Habari Mambo ya Kuzingatia Kabla Hujaamua Kumtoa ‘out’ Umpendaye
Mambo ya Kuzingatia Kabla Hujaamua Kumtoa ‘out’ Umpendaye – Global Publishers Home Habari Mambo ya Kuzingatia Kabla Hujaamua Kumtoa ‘out’ Umpendaye
Man United Yakwama Tena: Yalazimishwa Sare 1–1 na Leeds United – Global Publishers Home Gulio Man United Yakwama Tena: Yalazimishwa Sare 1–1 na Leeds United
RABAT, MOROCCO: HATUWADAI wanetu. Walisikika mashabiki wa Taifa Stars jijini Dar es Salaam usiku wa Jumapili baada ya kuishuhudia timu yao ya soka ikitupwa nje ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 kwa mbinde kwa kufunga bao 1-0 na wenyeji Morocco huko jijini Rabat. Tanzania chini ya kocha Miguel Gamondi ilicheza kwa…
Dar es Salaam. Kila saa 11:30 alfajiri, Nicodemas Massawe huwa tayari barabarani. Si kwa sababu ya kazi, bali ni safari ya kuwapeleka watoto wake shuleni ili wafike kwa wakati. Inamlazimu kufanya hivyo, kwa sababu mtoto mmoja ni mwanafunzi wa darasa la mtihani, anayelazimika kufika shuleni haraka na mapema zaidi ya wengine. Hatua hiyo, imebadili ratiba…
MSHAMBULIAJI Emmanuel Mwanengo, ameanza na mguu mzuri ndani ya Yanga baada ya kuwa sehemu ya mchango wa ushindi wa mabao 3-0 ilioupata timu hiyo dhidi ya KVZ. Yanga imepata ushindi huo katika mechi yake ya kwanza kundi C kunako Kombe la Mapinduzi 2026 iliyochezwa leo Januari 4, 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja….
Na Pamela Mollel,Arusha Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa wito wa kuimarisha ushirikiano kati ya Halmashauri na mawakala wa ukusanyaji wa taka, hatua inayolenga kuhakikisha Jiji la Arusha linabaki safi, lenye afya na tayari kukaribisha biashara na watalii. Akizungumza wakati wa muendelezo wa zoezi la “Ng’arisha Jiji la Arusha” lililofanyika katika Soko la…
Na Pamela Mollel,Arusha Kambi maalum ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo inayofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru (ALMC) jijini Arusha, kwa ushirikiano kati ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na ALMC, imeendelea kuwafikia wananchi wengi wa Mkoa wa Arusha na maeneo ya jirani kwa kutoa huduma za kibingwa kwa watu…
Dkt. Mwigulu Awasili Zanzibar Kwa Uzinduzi wa Miradi ya Maendeleo – Global Publishers Home Habari Dkt. Mwigulu Awasili Zanzibar Kwa Uzinduzi wa Miradi ya Maendeleo
Yanga Yatinga Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi Baada ya Kuichapa KVZ 3–0 – Global Publishers Home Michezo Yanga Yatinga Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi Baada ya Kuichapa KVZ 3–0
Maisha ni Mazuri Ukibashiri na Meridianbet Leo – Global Publishers Home Michezo Maisha ni Mazuri Ukibashiri na Meridianbet Leo