Tuwaelewe Simba wameamua kuanza upya
SIMBA imeshusha nyota takribani saba wa kigeni katika dirisha hili dogo la usajili huku ikifungulia milango wengine kwa kuwaondoa katika kikosi chake na baadhi bado ipo nao lakini haitowatumia hadi msimu utakapomalizika. Ni nadra sana kwa timu kufanya usajili wa idadi kubwa hivyo ya wachezaji katika dirisha dogo, lakini Simba yenyewe imeamua kutoangalia historia ikoje…