Simba yagoma kumuachia kiungo | Mwanaspoti

WAKATI taarifa zikienea kuhusu kuondoka kwa mmoja kati ya viungo wa Simba mambo yamebadilika ghafla, huku mabosi wakitaka abaki hadi mwishoni mwa msimu huu. Simba imekuwa na wakati mgumu msimu huu ikiwa imeshapoteza michezo miwili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini ikipoteza pia mechi moja ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam baada ya kucheza…

Read More

Mashine nyingine mpya yatua Yanga

YANGA imetua Zanzibar na kiungo mpya kutoka Singida Black Stars, Marouf Tchakei, huku kiungo wa kikosi hicho Mohamed Doumbia akizua gumzo jipya. Yanga ipo kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi ikiwa inataka kuchukua ubingwa baada ya mwanzo wa msimu huu kutwaa Ngao Jamii, lakini ikiwa inafanya vizuri kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada…

Read More

Denis Nkane, TRA United mambo yamejipa

UONGOZI wa TRA United umekamilisha mpango wa kuinasa saini ya winga Denis Nkane kutoka Yanga kwa mkataba wa miezi sita. TRA United imeshinda vita iliyohusisha pia JKT Tanzania iliyokuwa ikimtaka winga huyo wa zamani wa Biashara United kwa kumsainisha mkataba huo wa mkopo wa miezi sita ulio na kipengele cha kupata nafasi ya kucheza kikosi…

Read More

Nyuso mpya, mivutano ya zamani huku mataifa matano yakichukua viti vyao – Masuala ya Ulimwenguni

Bahrain, Colombia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Latvia na Liberia zimeanza muda wa miaka miwili kama wanachama wasio wa kudumukuchukua nafasi za Algeria, Guyana, Jamhuri ya Korea, Sierra Leone na Slovenia, ambao muhula wao ulimalizika mwezi uliopita. Wanajiunga wanachama wengine watano wasio wa kudumu – Denmark, Ugiriki, Pakistani, Panama na Somalia – ambao watahudumu hadi…

Read More

Korti yatupilia mbali pingamizi shauri la uchaguzi Tunduru Kusini

Arusha. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Songea imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Tunduru Kusini  na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), katika shauri la uchaguzi linalohusu matokeo ya ubunge. Katika shauri hilo la uchaguzi namba  29982/2025, linalohusu matokeo ya uchaguzi wa ubunge wa Tunduru Kusini, limefunguliwa na Mohamed…

Read More