Trump asifu operesheni ya ‘kumkamata’ Maduro, Venezuela yatoa kauli

Washington/Caracas. Rais wa Marekani, Donald Trump, amesifu kile alichokiita operesheni “iliyopangwa kwa ustadi” wa kijeshi iliyodaiwa kusababisha kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, na mkewe Cilia Flores, huku Serikali ya Venezuela ikitaka ithibitishiwe uhai wa viongozi hao na kulaani hatua za Marekani. Akizungumza na gazeti la The New York Times saa chache baada ya…

Read More

Moto wateketeza Suzy Lounge Katoro, wananchi watoa ombi

Geita. Wakati wananchi wakiendelea kusherehekea sikukuu ya Mwaka Mpya, moto unaodhaniwa kusababishwa na hitilafu ya umeme umetekeza sehemu ya eneo maarufu la starehe la Suzy Bar and Lounge katika mji mdogo wa Katoro, mkoani Geita. Moto huo ulizuka majira ya saa 6:15 mchana, Ijumaa Januari 2, 2026, wakati shughuli zikiendelea katika eneo hilo. Mashuhuda wamesema…

Read More

Wananchi wa vijiji vitano Pangani wataka kulipwa fidia mapema

Tanga. Wananchi wa vijiji vitano Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, wanatarajiwa kuondoka katika makazi yao kupisha utekelezaji wa mradi mkubwa wa uchimbaji wa madini ya Tembo (heavy minerals), baada ya kukamilika kwa utaratibu wa ulipaji wa fidia. Vijiji vinavyohusika katika mradi huo ni Stahabu, Bweni, Mzambarauni, Mikinguni na Mwera, ambapo maeneo hayo yamegundulika kuwa na…

Read More

Polisi yamwachia Kweka kwa dhamana

Moshi. Jeshi la Polisi limemwachia kwa dhamana Thadey Kweka, ambaye ni raia wa Marekani mwenye asili ya Tanzania. Raia huyo alikuwa akishikiliwa tangu Desemba 28, 2025 katika Kituo Kikuu cha Polisi Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo uchochezi. Kamanda wa Polisi Mkoani Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kuachiwa kwake leo Januari 3, 2026. “Ni…

Read More

Kwa Ahmed Bakari ‘Pipino’ sasa kazi tu

BAADA ya kurejea uwanjani akiwa fiti akitoka kuwa majeruhi, kiungo wa KMC, Ahmed Bakari ‘Pipino’ amesema huu ni muda mwafaka wa kuunganisha nguvu na wenzake kuipambania timu hiyo kuondoka mkiani. KMC inaburuza mkia katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa inamiliki pointi nne kupitia mechi tisa, ikifunga mabao mawili, kushinda mechi moja na kupoteza saba…

Read More