Barker hataki utani Simba, atenga wiki tatu za uamuzi mgumu
LEO usiku kikosi cha Simba kitakuwa Uwanja wa New Amaan Complex hapa Unguja kucheza mechi ya kwanza ya Mapinduzi Cup 2026 dhidi ya Muembe Makumbi City, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Steve Barker, amekuwa na jambo lake kimkakati ambalo ndani ya wiki tatu anataka kila kitu kiwe fresh. Barker ambaye alitambulishwa kuwa kocha mkuu…