WIKIENDI YA MOTO: KenGold, Kagera Sugar patachimbika!

RAUNDI ya 13 ya Ligi ya Championship inaendelea tena wikiendi hii kwa mechi kali na za kuvutia, ambapo macho na masikio ya wapenzi wa soka nchini yataelekezwa katika mechi ya kesho Jumapili kati ya wenyeji, KenGold na Kagera Sugar. Mechi hiyo inasubiriwa kwa hamu kutokana na timu zote mbili kushuka daraja msimu wa 2024-2025, zikitokea…

Read More

Yanga yamganda winga Mkongomani, yatajiwa bei

MABOSI wa Yanga wameendelea kumganda winga mmoja matata kutoka DR Congo kwa kutaka ashuke mapema ili awahi michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inayoendelea Zanzibar. Uongozi unafanya hivyo kwa lengo la kutekeleza mapendekezo ya kocha Pedro Goncalves anayetaka kuletewa mashine za maana kabla ya kurejea katika mechi za Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa…

Read More

Baada ya kuanza kazi Yanga, kiungo mpya atema cheche

YANGA imeanza kushusha vyuma huko katika dirisha hili dogo la usajili lililofunguliwa rasmi juzi, Januari mosi, kufuatia kumtambulisha rasmi kiungo mpya, Mohammed Damaro ambaye amejiunga na klabu hiyo kwa mkopo wa miezi sita akitokea Singida United. Mara baada ya utambulisho wake, Damaro ambaye kwa sasa ni raia wa Tanzania, amezungumza na Mwanaspoti kuhusu uhamisho huo…

Read More

Azam yaichapa Mlandege, yaiachia msala Singida BS

MABAO mawili yaliyofungwa katika kila kipindi, yameipa Azam FC ushindi wa kwanza katika Kombe la Mapinduzi 2026 ulioifanya kuacha msala kwa Singida Black Stars na URA. Azam imepata ushindi huo katika mechi yake ya pili iliyochezwa leo Januari 2, 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja ambapo imeiacha Mlandege ikivuliwa ubingwa kwa aibu….

Read More

‘Mswada huu wa Kupinga LGBTQI+ Bado Unaweza Kuzuiwa – lakini kwa Shinikizo Endelevu la Kimataifa’ – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Ijumaa, Januari 02, 2026 Inter Press Service CIVICUS inajadili mswada wa Kazakhstan dhidi ya LGBTQI+ na Temirlan Baimash, mwanaharakati na mwanzilishi mwenza wa mpango wa vijana wa QUEER KZ, shirika la LGBTQI+ la Kazakhstani. Temirlan Baimash Mnamo tarehe 12 Novemba, bunge la chini la Kazakhstan lilipitisha kwa kauli moja mswada wa kupiga marufuku…

Read More

Kanisa lawasogezea wananchi wa Tarakea huduma za afya

Rombo. Kanisa la The Sowers Evangelical International Church limeanza ujenzi wa zahanati katika Kata ya Tarakea Motamburu, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, hatua inayolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa wakazi wa maeneo ya pembezoni na ya mpakani ya mji wa Tarakea. Zahanati hiyo, itakayojulikana kama Zahanati ya Judwil, ikikamilika inatarajiwa kuondoa adha ya…

Read More