Watu 40 Wafariki, Zaidi ya 100 Wajeruhiwa Mkesha wa Mwaka Mpya – Video
Watu 40 Wafariki, Zaidi ya 100 Wajeruhiwa Mkesha wa Mwaka Mpya – Video – Global Publishers Home Habari Watu 40 Wafariki, Zaidi ya 100 Wajeruhiwa Mkesha wa Mwaka Mpya – Video
Watu 40 Wafariki, Zaidi ya 100 Wajeruhiwa Mkesha wa Mwaka Mpya – Video – Global Publishers Home Habari Watu 40 Wafariki, Zaidi ya 100 Wajeruhiwa Mkesha wa Mwaka Mpya – Video
Michezo Moto Barani Ulaya na Asia: Yote Uliyopaswa Kujua Leo – Global Publishers Home Michezo Michezo Moto Barani Ulaya na Asia: Yote Uliyopaswa Kujua Leo
Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) kwa kushirikiana na ubalozi wa India, umewashindanisha wanafunzi 20 katika sanaa ya uchoraji iliyobeba mada kuu ya uhusiano wa Bahari wa Hindi na tamaduni za nchi ya Tanzania na India. Mashindano hayo yaliyofanyika kwa siku tatu chuoni hapo ambapo mshiriki alitakiwa kuonyesha uhusiano wa kiutamaduni uliopo kati ya…
Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeonya uwepo wa mvua na radi kwa kipindi cha Januari 1 hadi 10, 2026, huku vipindi vya mvua vikitarajiwa katika baadhi ya maeneo ya Tanzania. Utabiri huu unalenga kuwaonya wananchi na kuwahimiza kuchukua tahadhari stahiki, hasa pale mvua zinapochanganyika na ngurumo za radi. Maeneo yanayotajwa…
Unguja. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohamed ameishauri Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi Zanzibar kufanya mapitio ya sheria ya mipango miji ili ziendane na mahitaji ya makazi kwa miaka 30 ijayo. Amesema hayo jana Alhamis Januari mosi, 2026, katika hafla ya ufunguzi wa nyumba za makazi, zilizopo Kiembesamaki Mkoa…
Unguja. Ujenzi wa viwanda vya nguo na dawa za binadamu katika eneo la viwanda Dunga Zuze, Mkoa wa Kusini Unguja, umetajwa kuwa suluhisho la kupunguza gharama za uagizaji wa bidhaa hizo kutoka nje ya nchi na kuhakikisha upatikanaji wa haraka na wa bei nafuu kwa wananchi wa Zanzibar. Hayo yamebainika leo, Januari 2, 2026, wakati…
Arusha. Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imebatilisha hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela na faini ya Sh343.8 milioni aliyohukumiwa raia wa Nigeria, Okwudili Agu, kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini. Agu alitiwa hatiani baada ya kukiri kosa la kusafirisha heroini yenye uzito wa gramu 1,273.69, yenye thamani ya Sh114.6 milioni….
Japan. Waziri Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi ameongeza nguvu kushawishi kutaka vyoo vya wanawake viongezwe katika jengo la Bunge nchini humo ili kupunguza foleni. Katika taarifa iliyochapishwa Mtandao wa BBC Januari 1, 2026 imeeleza kuwa, Takaiche ni miongoni mwa wabunge wanawake 60 waliowasilisha ombi la kuongezwa kwa vyoo vya wanawake katika jengo la Bunge ili…
Methali ya Kiswahili isemayo “Watoto pambo la nyumba, wathaminiwe” ni methali yenye maana kubwa sana katika maisha ya familia na jamii. Methali hii inatufundisha kuwa watoto si tu sehemu ya familia, bali ni rundo la furaha, matumaini, na urithi wa kizazi kijacho. Wakati watoto wanapopatiwa upendo, heshima, na malezi bora, wanakuwa chanzo cha mshikamano na…
URA FC ya Uganda imeanza vizuri michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mlandege, lakini kuna kitu kocha wa kikosi hicho amekisimulia. Aliyetoa simulizi hiyo ni kocha mkuu, Mbalangu Hussein aliyesema haikuwa rahisi kufika Unguja na kupata ushindi huo kutokana na changamoto kubwa waliyokutana nayo wakati wa safari. Kocha…