Serikali Yasitisha Timu ya Taifa ya Gabon, Yamtimba Aubameyang
Serikali Yasitisha Timu ya Taifa ya Gabon, Yamtimba Aubameyang – Global Publishers Home Michezo Serikali Yasitisha Timu ya Taifa ya Gabon, Yamtimba Aubameyang
Serikali Yasitisha Timu ya Taifa ya Gabon, Yamtimba Aubameyang – Global Publishers Home Michezo Serikali Yasitisha Timu ya Taifa ya Gabon, Yamtimba Aubameyang
Magonjwa ya kimya kimya yanayoweza kusababisha kifo cha ghafla, mara nyingi yanahusiana na mfumo wa moyo na mishipa ya damu. Katika magonjwa hayo, yale yanayohusu kusimama kwa moyo ghafla na shambulizi la moyo, ndio vinara zaidi katika kupoteza roho za watu wengi. Mshtuko wa moyo ni tatizo la mzunguko wa damu linalosababishwa na mshipa ulioziba,…
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa The post Habari kubwa za Magazeti leo Januari 2,2026 appeared first on Global Publishers.
Man City Yazidi Kubanwa Yapata Sare Nyingine EPL! – Global Publishers Home Michezo Man City Yazidi Kubanwa Yapata Sare Nyingine EPL!
TRA Yavunja Rekodi Tena Yazidi Kuvuka Malengo ya Makusanyo Desemba – Global Publishers Home Habari TRA Yavunja Rekodi Tena Yazidi Kuvuka Malengo ya Makusanyo Desemba
Dar es Salaam. Hakika miongoni mwa ukamilifu wa kumtukuza Allah Mtukufu ni kukitukuza kila alichokifanya kuwa kitukufu miongoni mwa alama za dini na ibada. Miongoni mwa utukuzaji huo ni kuitukuza miezi mitukufu aliyoipa heshima maalumu na ameitaja katika Qur’an, ambayo ambayo ni Rajab, Dhulqada, (mfungo pili), Dhulhijja (mfungo tatu) na Muharram (Mfungo nne) . Allah…
Nairobi. Watu wengi hugundua kuwa wana kiwango cha juu cha lehemu (cholesterol) wakiwa wameshachelewa sana. Awali hawakubaini tatizo lolote. Unajua kwa nini? Ni kwa sababu hakuna maumivu, hakuna ishara za kutisha, wala dalili za ghafla zinazokuonya kuwa kuna jambo hatari linaendelea kujengwa ndani ya mwili wako. Unajisikia sawa. Unaonekana mzima. Unaendelea na shughuli zako za…
Mamia ya maelfu ya Wapalestina wamesalia kung’olewa, wengi wakiishi katika mahema ya kubahatisha yaliyowekwa kwenye ardhi tupu au kubanwa kwenye majengo yaliyoharibiwa bila kupata maji, umeme, huduma za afya au vyoo. Mvua za msimu wa baridi zimeongeza ugumu wa maisha, makazi ya mafuriko na kugeuza njia za kambi kuwa matope mazito. Matumaini dhaifu Hata hivyo,…
::::::::: Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala ya Wanawake Amani na Usalama, Liberatha Mulamula, amewatakia Watanzania heri ya mwaka mpya huku akiwatasisitiza kuendelea kudumisha amani na umoja. Waziri huyo Mstaafu wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mulamula ameyesema hayo alipozungumza leo, huku akiwapongeza Watanzania kwa kupokea mwaka mpya. Amewapongeza, wananchi…