Matatizo ya moyo, damu yanavyochangia vifo vya ghafla

Magonjwa ya kimya kimya yanayoweza kusababisha kifo cha ghafla,  mara nyingi yanahusiana na mfumo wa moyo na mishipa ya damu. Katika magonjwa hayo, yale yanayohusu  kusimama kwa moyo ghafla na shambulizi la moyo, ndio vinara zaidi katika kupoteza roho za watu wengi. Mshtuko wa moyo ni tatizo la mzunguko wa damu linalosababishwa na mshipa ulioziba,…

Read More

Hekima na ubora wa miezi mitukufu kwenye Uislamu

Dar es Salaam. Hakika miongoni mwa ukamilifu wa kumtukuza Allah Mtukufu ni kukitukuza kila alichokifanya kuwa kitukufu miongoni mwa alama za dini na ibada. Miongoni mwa utukuzaji huo ni kuitukuza miezi mitukufu aliyoipa heshima maalumu na ameitaja katika Qur’an, ambayo ambayo ni Rajab, Dhulqada, (mfungo pili), Dhulhijja (mfungo tatu) na  Muharram (Mfungo nne) .  Allah…

Read More

Unayofanya kila siku huamua afya ya moyo wako

Nairobi. Watu wengi hugundua kuwa wana kiwango cha juu cha lehemu (cholesterol) wakiwa wameshachelewa sana. Awali hawakubaini tatizo lolote. Unajua kwa nini? Ni kwa sababu hakuna maumivu, hakuna ishara za kutisha, wala dalili za ghafla zinazokuonya kuwa kuna jambo hatari linaendelea kujengwa ndani ya mwili wako. Unajisikia sawa. Unaonekana mzima. Unaendelea na shughuli zako za…

Read More

Mwaka mpya unakucha huku kukiwa na vifusi na suluhu huko Gaza – Masuala ya Ulimwenguni

Mamia ya maelfu ya Wapalestina wamesalia kung’olewa, wengi wakiishi katika mahema ya kubahatisha yaliyowekwa kwenye ardhi tupu au kubanwa kwenye majengo yaliyoharibiwa bila kupata maji, umeme, huduma za afya au vyoo. Mvua za msimu wa baridi zimeongeza ugumu wa maisha, makazi ya mafuriko na kugeuza njia za kambi kuwa matope mazito. Matumaini dhaifu Hata hivyo,…

Read More

BALOZI MULAMULA ASISITIZA AMANI NA UMOJA 2026

 ::::::::: Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala ya Wanawake Amani na Usalama, Liberatha Mulamula, amewatakia Watanzania heri ya mwaka mpya huku akiwatasisitiza kuendelea kudumisha amani na umoja. Waziri huyo Mstaafu wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mulamula ameyesema hayo alipozungumza leo, huku akiwapongeza Watanzania kwa kupokea mwaka mpya. Amewapongeza, wananchi…

Read More