IDADI YA WATALII WANAOITEMBELEA TANZANIA YAENDELEA KUPAA
…………. 📌 USHIRIKI WA RAIS SAMIA KATIKA KUVITANGAZA VIVUTIO VYA UTALII NA UIMARISHAJI WA MINDOMBINU VYATAJWA. Na Sixmund Begashe, Mikumi Watalii wa ndani na nje wameendelea kuiamini na kuichagua Tanzania kama nchi salama ya kuitembelea kwa ajili ya kujionea vivutio mbalimbali vya Utalii ambapo kwa mwaka 2025 pekee idadi ya Watalii imeongezeka kwa asilimia 9…