Dili la Fei Toto lafikia pazuri, mchongo mzima upo hivi…
TAIFA Stars inatarajiwa kushuka uwanjani Jumapili hii kukabiliana na wenyeji Morocco katika mechi ya 16 Bora ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, mechi inayotajwa kuwa ndio ya kuamua dili la kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’. Fei ndiye aliyeivusha Stars kutinga hatua hiyo ikiwa ni rekodi tangu Tanzania…