Ufunguzi wa Ofisi ya CRDB Bank Dubai sasa umeiva, Nsekela Aridhishwa na Utayari wake Katika Kukuza Biashara na Uwekezaji

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, ametembelea Ofisi ya Uwakilishi ya Benki ya CRDB iliyopo Dubai, Falme za Kiarabu, ikiwa ni hatua muhimu kuelekea uzinduzi rasmi wa ofisi hiyo unaotarajiwa kufanyika mapema Januari 2026. Katika ziara hiyo, Nsekela alipokea taarifa ya kina kuhusu utekelezaji wa shughuli za ofisi tangu ilipoanza kazi rasmi Oktoba…

Read More

Unyanyasaji wa kingono dhidi ya watoto ‘uliokithiri, wa kimfumo na umeenea’ kote DR Congo, UNICEF yaonya – Masuala ya Ulimwenguni

Ongezeko hilo linatokea dhidi ya hali ya mzozo unaoongezeka mashariki mwa DRC, ambapo mapigano mapya yamesababisha watu wengi kuhama makazi yao, kubomoa mifumo ya ulinzi na kuzidisha mzozo mkubwa wa kibinadamu – na kuwaweka watoto katika hatari kubwa ya kunyanyaswa, kunyonywa na kiwewe cha kudumu. UNICEF ina kuitwa mara kwa mara kwa ajili ya kusitishwa…

Read More

Ruwa’ichi:2025 ulikuwa mwaka mgumu, mzito

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu  Katoliki la Dar es Salaam, Juda Thadaeus Ruwa’ichi amesema 2025 ulikuwa mwaka mgumu na mzito. Amesema mwaka huo ambao pia ulikuwa  Jubilei Kuu, ulikuwa na changamoto hasa kwao kama Watanzania, akisisitiza ulikuwa mgumu, wa majonzi, masikitiko na vifo. “Lakini hata katika magumu hayo, Mungu hajatuacha, Mungu hajatutupa,…

Read More

Mchungaji Malisa matatani, ashitakiwa kwa uhaini

Dar es Salaam. Mchungaji Godfrey Malisa aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kabla ya kufukuzwa uanachama mwaka jana, ameshitakiwa kwa kosa la uhaini katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi. Kesi hiyo iliyopangwa kutajwa kesho Ijumaa Januari 2, 2026, ipo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Ally Mkama wa Mahakama hiyo mkoani Kilimanjaro. Hadi kufikia kesho,…

Read More