Utafiti wa WHO unaonyesha chanjo za COVID bado ni muhimu katika kuzuia ugonjwa mbaya – Masuala ya Ulimwenguni

Ingawa COVID 19 haisababishi tena usumbufu mkubwa unaoonekana wakati wa dharura ya afya ya ulimwengu, virusi vinaendelea kulaza na kuua watu kote Uropa na mikoa jirani. Tafiti zinazoongozwa na WHO Ofisi ya Kanda ya Ulaya inathibitisha kwamba watu wanaopokea dozi za nyongeza kwa wakati wana uwezekano mdogo sana wa kupata magonjwa mazito, wanahitaji uangalizi mkubwa…

Read More

Kinara wa mabao ZPL amepania kinoma

MBONI Steven Kibamba amepania kufanya vizuri katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inayoendelea kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja. Nyota huyo wa Fufuni FC anayecheza eneo la ushambuliaji, ndiye kinara wa mabao kwenye Ligi Kuu Zanzibar msimu huu 2025-2026 akiwa amepachika mabao 10 katika mechi 15 za duru la kwanza. Pia ana…

Read More

AJALI YAUA WATU 10 MOROGORO, 18 WAJERUHIWA

Farida Mangube Morogoro. Watu kumi wamefariki Dunia na wengine 18 kujeruhiwa katika ajali  ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo Januari Mosi 2026 katika eneo la Mwidu Mikese, mkoani Morogoro. Ajali hiyo ilihusisha basi dogo na lori la mizigo imetokea katika Kijiji cha Maseyu, Kata ya Gwata, Wilaya ya Morogoro. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa…

Read More

Straika Mkongomani aingia rada za Dodoma

MABOSI wa Dodoma Jiji wameanza maboresho ya kikosi hicho kimya kimya katika dirisha hili dogo linalofunguliwa rasmi leo Januari 1, 2026, ambapo kwa sasa wanakaribia kupata saini ya mshambuliaji nyota raia wa DR Congo, Osako Ngeleda Modeste. Chanzo kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo, kimeliambia Mwanaspoti, Modeste amefikia makubaliano ya kujiunga na kikosi hicho,…

Read More

DC GAIRO AIPONGEZA TRA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO

 Farida Mangube Morogoro. MKUU wa Wilaya ya Gairo, mkoani Morogoro, Japhari Kubecha, ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wilayani humo kwa kazi nzuri wanayofanya katika ukusanyaji wa mapato ya serikali, akisisitiza kuwa juhudi hizo zimechangia kwa kiasi kikubwa upatikanaji wa rasilimali za utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Akizungumza ofisini kwake baada ya kutembelewa na Meneja…

Read More

Mapinduzi CUP 2026: Kocha aanika mikakati ya URA

MABINGWA mara moja wa Kombe la Mapinduzi mwaka 2016, URA wameanika mikakati yao katika mashindano hayo yaliyoanza Desemba 28, 2025 yakichezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja. URA kutoka Uganda ambayo jana saa 10:15 jioni ilikuwa uwanjani kucheza dhidi ya Mlandege, ilikuwa ni mechi yao ya kwanza kundi A baada ya ile dhidi ya Azam…

Read More

Jeshi la Steve Barker Simba hili hapa

SIMBA kuna kazi moja inamaliziwa na wakati wowote kuanzia jana mpaka muda huu unaposoma gazeti hili itakuwa imemalizika kwenye kuunda benchi jipya la ufundi la kocha mpya wa wekundu hao Steve Barker. Barker tayari yupo nchini akitua na watu wawili wa kazi ambapo sura ya benchi lake imeanza kutoa picha kwamba jamaa amekuja kupigania heshima…

Read More

Wawili wapishana na Doumbia, Conte Yanga

YANGA imepunguza mastaa wawili wa kigeni katika kikosi ilichonacho na kuingiza mashine mbili za kazi ikipiga hesabu za muda mfupi kuboresha kikosi hicho kwa ngwe ijayo ya michuano ya kimataifa na Ligi Kuu Bara. Iko hivi. Yanga itawasajili viungo wawili na wote watatokea Singida Black Stars wa kwanza ni Marouf Tchakei, raia ya Togo  ambaye…

Read More