Manispaa ya Morogoro yaanza kuwaondoa wafanyabiashara barabarani
Morogoro. Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imeanza operesheni ya kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi, ikiwemo kando ya barabara, kufuatia ongezeko la wafanyabiashara wa mboga na matunda wanaovamia maeneo hayo. Akizungumza na Mwananchi leo Januari 28, Ofisa Habari wa Manispaa ya Morogoro, Lilian Heneriko, amesema operesheni hiyo ilianza Januari 26, 2026 na inatekelezwa…