TanTrade kuendeleza masoko na uwekezaji Katoro

Dar es Salaam. Mji wa Katoro mkoani Geita unaendelea kujijenga kama kitovu kipya cha biashara nchini, ukitambulika kwa nafasi yake ya kimkakati katika mtiririko wa bidhaa na huduma si tu kwa Tanzania, bali pia kwa kanda ya Afrika Mashariki na nchi jirani. Kadri sekta ya biashara inavyoelekeza macho yake katika miji midogo yenye fursa kubwa…

Read More

Waziri Kijaji Ampokea Braydon Bent

📍Atimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuitembelea Tanzania WAZIRI  wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amempokea shabiki mashuhuri wa klabu ya Manchester City ya Uingereza Braydon Bent ambaye ametimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuitembelea Tanzania na kujionea vivutio mbalimbali ikiwemo Serengeti na Mlima Kilimanjaro. Ni kama safari iliyochukua karne hivi…

Read More

Wananchi Monduli wahimizwa kuvuna maji ya mvua

Arusha. Wakazi wa Wilaya ya Monduli mkoani Arusha wamehimizwa kuchukua hatua za dharura kwa kuwekeza katika miundombinu ya uvunaji wa maji ya mvua ili kukabiliana na ukame unaoendelea kuathiri maisha na usalama wa chakula. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, Kisioki Moitiko, wakati wa uzinduzi wa mradi wa ugawaji wa…

Read More

Kesi 19 za waliokuwa wagombea ubunge ACT- Wazalendo zakwaa kisiki

Unguja. Kesi za waliokuwa wagombea ubunge wa Chama cha ACT-Wazalendo kupinga matokeo katika majimbo 19 ya Unguja zimekwaa kisiki baada ya Mahakama Kuu Zanzibar kukubaliana na pingamizi lililowekwa na mwanasheria mkuu wa Tanzania kwamba Mahakama hiyo haina mamlaka kusikiliza mashauri yanayotokana na wabunge wa Tanzania. Hayo yamejiri leo Jumanne, Januari 27, 2025 baada Jaji Haji…

Read More

Inapunguza Majaribio ya Kliniki, Wanasayansi Waonya Hatari za Marekani Kupoteza Kikomo Chake cha Utafiti – Masuala ya Ulimwenguni

Sayansi, utafiti na uvumbuzi wa kisayansi hutoa suluhu kwa changamoto kubwa zinazokabili jamii yetu na zinaweza kuboresha maisha ya watu. Mkopo: Shutterstock Maoni by Esther Ngumbi (urbana, illinois, sisi) Jumanne, Januari 27, 2026 Inter Press Service URBANA, Illinois, Marekani, Januari 27 (IPS) – Wanasayansi kote Marekani, ikiwa ni pamoja na mimi, wanasisitizwa baada ya mwaka…

Read More

UMEME NI MZURI LAKINI NI HATARI_NJIRO.

Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO Mkoa wa Ruvuma Alan Njiro, amesema kuwa umeme ni nishati muhimu lakini ni hatari endapo hautatumika kwa usahihi, kwani unaweza kusababisha madhara makubwa kwa jamii. Njiro ameyasema hayo Januari 27 alipotembelea shule ya msingi Mwenge na Shule ya sekondari Nasuri iliyopo Wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wakati wa mwendelezo…

Read More