Mwingine kesi ya ‘Dk Manguruwe’ aeleza alivyowekeza Sh20 milioni

Dar es Salaam. Shahidi wa tisa wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mkurugenzi mwanzilishi wa Kampuni ya Vanila International Limited, Simon Mkondya, maarufu kama Dk Manguruwe, na mwenzake John Rwezaula, ameieleza mahakama jinsi alivyoshawishika kuwekeza Sh20 milioni katika kampuni hiyo. Shahidi huyo, Abeid Shekimweri, ametoa ushahidi wake leo Jumanne, Januari 27, 2026, mbele…

Read More

Wawili mbaroni Tanga kwa tuhuma za utekaji nyara

Tanga. Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limefanikiwa kuwanasa wakazi wawili wa Mabogini Kilimanjaro na Tanga waliodaiwa kumteka Aiti Ramadhani (Mazura) na kuwashurutisha ndugu zake kutoa fedha. Watuhumiwa hao wanadaiwa kuwa sehemu ya mtandao wa watu wanaoendesha uhalifu wa utekaji katika mkoa huo huku wakidai fedha kutoka kwa ndugu wa mateka hao ili wawaachie huru….

Read More

Utata familia, halmashauri zikigombea eneo Temeke

Dar es Salaam. Utata umeibuka kati ya familia ya Ramadhani Chaulembo, inayoishi Dar es Salaam dhidi ya Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, kuhusu umiliki wa kiwanja namba 77, kila upande ukidai unalimiliki eneo hilo kihalali. Kwa mujibu wa familia hiyo ya Chaulembo, eneo hilo ni mali yao halali tangu mwaka 1977, baba yao alipolinunua kutoka…

Read More

MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA WAONGEZA BEI YA MAZAO KWA WAKULIMA

Na. Janeth Raphael MichuziTv – Dodoma  ‎Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Dennis Londo, amesema kuwa ujio mpya wa stakabadhi za ghala unawakumbusha wakulima changamoto walizopitia kupitia vyama vyao vya ushirika. Aidha, amebainisha kuwa kazi kubwa iliyopo sasa ni kuimarisha imani ya wananchi kwa serikali na taasisi zake, ikiwemo mfumo huu wa stakabadhi za ghala….

Read More

NAIBU WAZIRI DKT CHAYA AUNGANA NA MHE RAIS KUADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA KUPANDA MITI JENGO LA WIZARA MTUMBA.

Katika kuenzi siku ya kuzaliwa Rais, wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji (OR-MU), Mhe. Dkt. Pius Chaya, ameshiriki zoezi la upandaji miti katika Makao Makuu ya Ofisi hiyo, Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma. Zoezi hilo ambalo limefanyika leo tarehe…

Read More

Tanzania yasisitiza miundombinu udhibiti usalama wa chakula

Dar es Salaam. Tanzania inahama kutoka kwenye suluhisho za muda mfupi za usalama wa chakula ili kujenga mifumo endelevu ya muda mrefu, ikisisitiza miundombinu, kanuni na teknolojia za kidijitali kama msingi wa uthabiti wake kitaifa, kikanda na kimataifa. Hayo yamebainishwa leo Jumanne Januari 27, 2026 na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na…

Read More

Kwanini wafupi ni mastaa wakicheza namba moja?

KWA kawaida mchezo wa kikapu umezoeleka ili kuucheza ni lazima uwe na mwili mkubwa, hususan urefu. Lakini, hiyo haizuii mchezaji mfupi kuucheza vyema ilimradi awe na uwezo na ubora unaotakiwa kufanikisha matokeo na ufanisi wa timu. Mchezaji mfupi wa kikapu anayecheza nafasi ya namba moja maarufu zaidi kama point guard hupata wakati mgumu kucheza nafasi…

Read More

Lipumba ataka umoja wa kitaifa, akemea ubaguzi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amewataka Watanzania kudumisha umoja wa kitaifa na kuepuka ubaguzi wa Uzanzibar na Utanganyika, akisisitiza kuwa mshikamano ni msingi wa kupata suluhu ya changamoto za kisiasa na kijamii zinazoikabili nchi. Amesema matatizo ya ndani, ikiwemo changamoto za demokrasia ya kweli na haki, yanapaswa kutatuliwa…

Read More