WATANZANIA WAPANDE MITI KILA MWAKA

………… Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange ametoa rai kwa kila Mtanzania kupanda mti angalau mmoja kila mwaka anapoadhimisha kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ili kuleta chachu katika hifadhi endelevu ya mazingira. Ametoa rai hiyo wakati akiongoza zoezi la upandaji wa miti kuadhimisha Kumbukizi ya Siku ya…

Read More

Tanesco yabaini chanzo umeme wa Luku kuisha haraka

Dar es Salaam. Kufuatia malalamiko ya wateja wa umeme wa Luku kuisha haraka katika matumizi, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limefanya ukaguzi wa kitaalamu na kubaini, tatizo hilo linasababishwa na mifumo mibovu ya umeme. Baada ya kupokea malalamiko hayo, Tanesco, iliwalazimu kufanya ukaguzi wa kitaalamu katika baadhi ya nyumba ili kubaini chanzo cha tatizo hilo….

Read More

Kumekucha Netiboli Mbeya, kupata vigogo wapya

CHAMA cha Netiboli Mkoa wa Mbeya (Chanembe) kinatarajia kufanya uchaguzi wa kuwapata viongozi wake watakaokitumikia kwa miaka minne ijayo, huku wadau wa mchezo huo wakiombwa kujitokeza kuchukua fomu. Uchaguzi huo unatarajia kufanyika leo Jumatano Januari 28, 2026 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, huku nafasi sita zikitangazwa kuwaniwa. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUFUNGUA FURSA ZA AJIRA KWA VIJANA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu akiwa ameshiriki katika Mkutano wa Mawaziri wa Kazi Duniani (Global Labour Market Conference) unaofanyika Jijini Riyadh, Saudi Arabia tarehe 26 Januari, 2026. ***************** Na: OWM (KAM) – Riyadh, Saudi Arabia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira…

Read More

RAIS SAMIA AMEIWEZESHA FORODHA KUIMARISHA ULINZI MIPAKANI

  Kamishna Mkuu wa TRA Bw.  Yusuph Juma :::::::::  Kamishna Mkuu wa TRA Bw.  Yusuph Juma Mwenda amesema Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiwezesha TRA kupitia Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa kuimarisha ulinzi mipakani kwa kuweka mifumo na vifaa vya kisasa vya kufanyia kazi. Akizungumza katika maadimisho…

Read More

Tume ya Uchunguzi yakutana na Venance Mabeyo

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 27, 2026, imekutana na Mkuu wa Majeshi Mstaafu (CDF) Venance Mabeyo. Mkutano huo wa Tume na Mabeyo umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo katika ofisi za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini, Dar…

Read More

Mfumo wa IDRAS kuunganishwa na AI, kulinda taarifa binafsi

Shinyanga. Katika kuboresha mfumo wa ukusanyaji kodi kwa wafanyabiashara kuendana na kasi ya maendeleo ya sayansi na teknolojia, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeunganisha mfumo wa IDRAS pamoja na akili unde ili kumsaidia mlipakodi kupata majibu ya maswali kwa urahisi bila kwenda ofisini pamoja na kulinda taarifa zake. Akizungumza leo Januari 27, 2026 katika mafunzo…

Read More