TPA YATUNUKIWA CHETI CHA HESHIMA KUTOKA KWA SHIRIKA LA FORODHA DUNIA (WCO).
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Bw. Plasduce Mkeli Mbossa, ametunukiwa Cheti cha Heshima kwa usimamizi wake ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wangu wake mkubwa na utoaji huduma wa kipekee kwa jumuiya ya kimataifa ya Forodha, katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Forodha 2026. Cheti hicho cha kimetolewa na…