Kama Enzi za Korea, Marekebisho ya Kifedha Yanaweza Kusaidia Kulinda Fedha za Serikali – Masuala ya Ulimwenguni

Mabadiliko ya sera ya kufikiria yanaweza kusaidia kuhakikisha shinikizo la matumizi linasalia kudhibitiwa, huku ikitengeneza nafasi ya kuwatunza wazee na kukabiliana na misukosuko ya kiuchumi. Maoni na Rahul Anand (washington dc) Jumanne, Januari 27, 2026 Inter Press Service WASHINGTON DC, Januari 27 (IPS) – Idadi ya watu nchini Korea inazeeka kwa kasi zaidi kuliko takriban…

Read More

Miloud Hamdi ajiuzulu Ismaily | Mwanaspoti

Aliyekuwa Kocha wa Yanga msimu uliopita, Miloud Hamdi jana, Jumatatu, Januari 26, 2026 ametangza kujiuzulu kibarua chake katika klabu ya Ismaily ya Misri. Miloud amechukua uamuzi huo akiwa ameitumikia timu hiyo kwa miezi sita tu tangu alivyojiunga nayo, Julai 3, 2025 akitokea Yanga. “Nawashukuru kwa nyakati tulizopita pamoja katika vipindi vigumu. Lakini tulifanikiwa kuwa tumeungana…

Read More

KUMBUKIZI YA KUZALIWA DKT SAMIA: UVCCM KAGERA YAKUPANDA MITI 2,000 SHULE YA WASICHANA OMUMWANI.

Na Diana Byera_Bukoba. Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Kagera wameungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa kupanda miti 2,000 katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Omumwani, Manispaa ya Bukoba. Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amewaongoza vijana mbalimbali pamoja na wanafunzi na…

Read More

Shiza Kichuya aibukia Coastal Union

WINGA wa zamani wa Simba na Mtibwa Sugar, Shiza Kichuya amejiunga na Coastal Union akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba JKT Tanzania. Kichuya ambaye ameitumikia JKT Tanzania kwa misimu miwili akitokea Namungo, amesaini mkataba wa mwaka mmoja Coastal Union na muda wowote kuanzia sasa atatambulishwa ndani ya kikosi hicho. Chanzo cha kuaminika kutoka Coastal…

Read More