Ligi Kuu Bara leo zinasakwa pointi tatu za heshima
LIGI Kuu Bara inatarajiwa kuendelea leo Jumanne kwa mechi tatu kupigwa lakini macho ya wengi yataelezwa Uwanja wa KMC jijini Dar es Salaam na mabingwa watetezi, Yanga itashuka dimbani kucheza dhidi ya Dodoma Jiji. Baada ya kupoteza mechi yake ya kwanza wikiendi iliyopita katika Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly, Kocha wa Yanga,…