CPA.MKAMA: KUNA MAENDELEO MAKUBWA NA USTAWI MZURI KATIKA MIFUKO YA UWEKEZAJI WA PAMOJA
Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imesema katika kipindi cha miaka mitano, kumekuwa na maendeleo makubwa na ustawi mzuri wa uwekezaji katika mifuko ya uwekezaji wa pamoja. Imefafanua katika kipindi kilichoishia Disemba 2025 imeongezeka kwa asilimia 65.10 na kufikia Sh. trilioni 4.35, ikilinganishwa na Sh. trilioni 2.64 katika kipindi kilichoishia…