UTABIRI WA MVUA ZA VULI UNA USAHIHI WA ASILIMIA 94.1

Mtaalamu wa Hali ya Hewa kutoka TMA, Alfred Kondoya akizungumza na Torch Media Dar es salaam. ::::::::::; MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kuwa utabiri wa mvua za Vuli unaoendelea kwa sasa umefanikiwa kwa kiwango cha usahihi wa asilimia 94.1, hali inayoonesha uwezo mkubwa wa kitaalamu katika sekta ya utabiri wa hali ya…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAIAHIDI KAMPUNI YA ALAF USHIRIKIANO

  -Kamati ya Bunge yaiahidi ALAF ushirikiano Na Mwandishi Wetu KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imefanya ziara katika kiwanda cha ALAF limited na kuahidi kuendelea kutoa ushirikiano na ushauri kwa bunge na serikali ili sekta ya chuma hususan kiwanda hiki kiendelee kuwa bora zaidi. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti…

Read More

Sababu watu kukimbilia mitandaoni kueleza matatizo yao

Matumizi ya mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram, X, WhatsApp na TikTok yanazidi kubadilika, huku baadhi ya watumiaji wakiigeuza kuwa majukwaa ya kutafuta suluhisho la changamoto za kifamilia na mahusiano. Masuala ya malezi, ukatili wa kijinsia, manyanyaso ndani ya ndoa na maumivu ya kimapenzi ni miongoni mwa matatizo yanayowafanya watu kuwafuata watu maarufu mitandaoni kuomba…

Read More

Msiba wa Mtei ulivyoibua mijadala ya kisiasa

Dar es Salaam. Fursa ya kutema nyongo, ndio tafsiri iliyotolewa na wachambuzi wa siasa kuhusu kauli za wanasiasa wa vyama vya upinzani walizozitoa katika jukwaa la maombolezo ya msiba wa mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei. Kwa mujibu wa wachambuzi hao, kilichozungumzwa na wanasiasa kwenye safari hiyo ya mwisho wa Mtei,…

Read More

Ndoto za RPC wa zamani kupinga ubunge wa Kakulu wa CCM zayeyuka

Dar es Salaam. Kada wa Chama cha ACT Wazalendo, Jamal Rwambow, amejikuta njia panda kupinga ushindi wa mbunge wa Mbagala (CCM), Kakulu Burchard, baada ya kesi aliyoomba aunganishwe nayo kuondolewa mahakamani. Katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025, Rwambow aliyewahi kuwa Kamanda wa Polisi (RPC) katika mikoa mitatu nchini kabla ya kustaafu, alikuwa mwanachama wa…

Read More