Peter Manyika Sr afariki dunia

KIPA wa zamani wa Yanga na timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Peter Manyika Sr amefariki leo alfajiri na mwili wake umehifadhiwa katika hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa kijana wake kipa wa zamani wa Simba na Taifa Stars, Peter Manyika Jr amethibitisha hilo na kwamba msiba upo nyumbani kwao Mbezi. “Baba kafariki…

Read More

WPL kuendelea Jumatano kwa mechi tano

MTANANGE wa Ligi Kuu ya Wanawake itaendelea tena Jumatano hii Januari 28 zikipigwa mechi tano ikiwemo ile ya bingwa mtetezi JKT Queens dhidi ya Alliance Girls inayotarajiwa kuwa na ushindani. Msimamo wa ligi hadi sasa unaongozwa na Simba yenye pointi 28 ikifuatiwa na Yanga Princess yenye nazo 24, JKT nafasi ya tatu na pointi 20…

Read More