Shambulio familia ya Bobi Wine laibua taharuki Uganda, mkewe alazwa

Dar es Salaam. Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema mke wake ameshambuliwa na vikosi vya ulinzi vilivyovamia nyumbani kwake wakati yeye akiwa mafichoni, tukio lililoongeza sintofahamu ya kiusalama nchini humo. Kupitia taarifa aliyochapisha mtandaoni, Wine amesema shambulio hilo lilitokea Jumamosi Januari 24, 2026, ambapo askari waliovalia kiraia walimshambulia mke wake wakimtaka afichue mahali…

Read More

Trident FC, Mourice Sichone ngoma ngumu

BADO hali haijawa shwari kwa kinda wa Kitanzania, Mourice Sichone na klabu anayoitumikia Trident FC ya Zambia ambao wanadai hawako tayari kumuachia kwa sasa hadi mkataba wake utakapotamatika. Kinda huyo (18) alisajiliwa dirisha dogo msimu uliopita akitokea Mpulungu Harbour FC ya nchini humo alikocheza mechi 12 na kuhusika katika mabao tisa akifunga manne na kuasisti…

Read More

Mahakama yaridhia shule kujitetea madai ya Sh127 milioni

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Bukoba imeruhusu Karagwe Development Association (Karadea), mmiliki wa Shule ya Msingi Omukarilo, kujitetea katika kesi ya madai ya michango ya zaidi ya Sh127 milioni anayodaiwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF). Uamuzi huo ulitolewa Januari 22, 2026 na Jaji Immaculata Banz, aliyekuwa akisikiliza maombi ya madai…

Read More

Mwinyi Zahera aanza visingizio WPL

KOCHA wa Ruangwa Queens, Mwinyi Zahera ametaja sababu ya kutoanza vizuri Ligi ya Wanawake ni pamoja na wachezaji kutokuwa na uzoefu wa kimashindano. Amesema ingawa wamesajili wachezaji 26, wengi wao hawajawahi kucheza Ligi Kuu, jambo ambalo limeathiri wanapokutana na timu ngumu kama JKT Queens na Simba Queens. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwinyi amesema kutokana na changamoto…

Read More

WHO yaijibu Marekani, yatolea ufafanuzi madai ya Uviko-19

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza kusikitishwa na taarifa ya Marekani kujiondoa katika shirika hilo, uamuzi unaoelezwa kuifanya Marekani na dunia kwa jumla kuwa katika hatari zaidi. Januari 20, 2025, Rais wa Marekani Donald Trump alitoa notisi ya kujiondoa WHO kupitia amri ya utendaji, kabla ya nchi hiyo kujitoa rasmi Januari 22,…

Read More

Sh30 bilioni kupeleka huduma za matibabu Kaskazini Unguja

Unguja. Ili kutatua changamoto za wananchi katika kufuata huduma za matibabu, Sh30.44 bilioni zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya Mkoa wa Kaskazini Unguja. Itakapokamilika, hospitali hiyo itapunguza gharama za kufuata huduma za matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Mjini Magharibi, Lumumba, au nje ya Zanzibar. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Wizara ya Afya…

Read More

Alliance Girls yaongeza watatu dirisha dogo

INAELEZWA Alliance Girls ya Mwanza imekamilisha usajili wa wachezaji watatu waliokuwepo kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa yaliyofanyika jijini Mwanza. Alliance iko nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi ikikusanya pointi 20 kwenye mechi tisa imeshinda sita, sare moja na kupoteza mechi mbili. Wachezaji hao ni Hafsa Baruani kutoka Mshikamano Queens ambaye kwenye…

Read More

Mbinu familia kubuni vipato vya ziada 

Katika dunia ya sasa yenye changamoto nyingi za kiuchumi, familia haziwezi tena kutegemea chanzo kimoja cha kipato. Kutegemea mshahara pekee au biashara moja ni sawa na kuweka mayai yote kwenye kapu moja; ikitokea tatizo, familia hujikuta kwenye hali ngumu ya kifedha. Hivyo basi, ni muhimu kwa familia kupanga na kuandaa vyanzo tofauti vya kipato ili…

Read More

Nguvu ya maneno chanya inavyogeuza moyo wa mtoto   

Majuzi nilizungumza na Richard anayeishi na mama yake. Baba aliwaacha miaka mingi iliyopita. Richard hajui sababu. Tangu wakati huo maisha yamekuwa magumu sana. Mama alilazimika kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja. Asubuhi alikuwa mfanyakazi ndani. Jioni aligeukia kuuza chakula barabarani. Hata hivyo, pamoja na jitihada zote hizo maisha yalikuwa magumu. Kila mara alilalamika. Richard alijisikia…

Read More