SERIKALI YAOMBWA KUTAZAMA UPYA GHARAMA ZA USAJILI NA KODI KWA ONLINE MEDIA
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri. Ombi hilo limetolewa na Jumamosi Januari 24, 2026 na Mkurugenzi wa BMG Media, George Binagi wakati wa hafla fupi ya kupokea tuzo maalum kutoka YouTube baada ya chombo hicho cha mtandaoni kufikisha wafuasi (Subscribers)…