Ni raundi ya lala salama, kisasi Championship 2025/26

BAADA ya kupisha mapumziko ya wiki moja, raundi ya pili ya Ligi ya Championship inaendelea tena leo Jumamosi kwa mechi tatu kupigwa na nyingine kesho Jumapili, huku kila timu ikipambana kwa ajili ya kujitengenezea nafasi nzuri. Maafande wa Transit Camp iliyoshinda mechi ya mwisho kwa kuichapa KenGold bao 1-0, itakuwa kwenye Kituo cha Ufundi cha…

Read More

Rufaa yamwokoa mwanajeshi wa DRC aliyehukumiwa kwa unyang’anyi Tanzania

Bukoba. Askari wa Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Seseko Samilukora aliyekimbilia Tanzania kuwakimbia M23 na baadaye kukamatwa na kufungwa miaka 30 jela kwa unyang’anyi wa kutumia silaha, ameachiwa huru. M23 ambalo linajulikana kama March 23 Movement au Mouvement du 23 Mars, ni kundi lililojitokeza Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo likiendesha mashambulizi dhidi ya majeshi ya Serikali ya…

Read More

Marekani yakataa msamaha wa Jenerali Muhoozi

Uganda. Seneta wa Marekani Jim Risch, ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Seneti ya Mahusiano ya Kigeni, amekataa msamaha wa umma uliotolewa na Mkuu wa Majeshi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, akiutaja kuwa usio na maana, huku akitoa wito wa kutaka vikwazo vikali zaidi dhidi ya Uganda. Majibu hayo yametolewa ikiwa ni siku moja…

Read More

Dosari za kisheria zamnusuru na kifungo cha miaka 30

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Musoma, imebatilisha na kufuta hukumu ya kifungo cha 30 aliyokuwa amehukumiwa Adolf Hitler baada ya kukutwa na hatia ya kosa la ubakaji. Hitler maarufu kwa jina la Masiringi alihukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Butiama mwaka 2023, katika kesi ya ubakaji wa msichana aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha tatu…

Read More