Kiongozi wa CWT Morogoro afariki dunia kwa ajali
Morogoro. Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Morogoro kimepata pigo kufuatia kifo cha mwenyekiti wake, Mbaruku Ligubi (46), aliyefariki dunia baada ya kupata ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa Januari 22, 2026. Mwalimu Ligubi aligongwa na gari katika ajali iliyotokea saa 2 usiku katika barabara kuu ya Dar es Salaam – Morogoro, eneo la…