Meridianbet Yahakikisha Mazingira Ni Salama Mbezi Juu

MERIDIANBET imeendelea kuthibitisha kuwa mchango wake hauishii kwenye burudani ya michezo ya kubashiri pekee, bali unagusa moja kwa moja maisha ya wananchi. Kupitia mkakati wake wa uwajibikaji kwa jamii (CSR), kampuni hiyo imeshiriki kikamilifu katika zoezi la usafi wa mazingira Kata ya Mbezi Juu, ikionesha dhamira ya kweli ya kushiriki maendeleo ya kijamii na kiafya…

Read More

Ecua, Doumbia kuibukia Sauzi | Mwanaspoti

WAKATI wowote kuanzia sasa, mastaa wawili wa Yanga watakwenda kuungana na aliyekuwa mshambuliaji wa kikosi hicho, Andy Boyeli, kule Afrika Kusini ambako watapelekwa kwa mkopo ili kupisha hesabu za usajili pale Jangwani. Mastaa hao ni Celestine Ecua ambaye alisajiliwa dirisha kubwa msimu huu, huku akipewa mkataba wa miaka mitatu ya kukitumikia kikosi hicho akitokea ASEC…

Read More

Namungo yachomoa mwingine Azam | Mwanaspoti

UONGOZI wa Namungo uko katika hatua za mwisho kuipata saini ya beki wa kushoto wa Azam FC, Julius Machela kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu ikiwa ni siku chache tangu imsajili beki wa kati Ali Hassan Chamulungu kutoka kikosini humo. Machela ni miongoni mwa nyota wanne wa akademi ya Azam waliojumuishwa katika kikosi cha…

Read More

Gardiel Michael kutua Dodoma Jiji

BEKI wa Dodoma Jiji, Miraji Abdallah ‘Zambo’ yupo kwenye hatua za mwisho kutua Singida Black Stars, huku pia nyota wa kikosi hicho, Gadiel Michael akipigiwa chapuo la kurithi nafasi yake. Chanzo kutoka ndani ya Singida kimeliambia Mwanaspoti kuwa Zambo aliyejiunga na Dodoma Jiji akitokea Coastal Union baada ya dili lake la kwenda Simba kuota mbawa…

Read More

Mgosi ataja jeuri ya Simba Queens

KOCHA wa Simba Queens, Mussa Hassan ‘Mgosi’, amesema ushindi dhidi ya Alliance Girls katika Ligi Kuu Soka Wanawake, ni matokeo ya maandalizi mazuri na nidhamu ya hali ya juu kutoka kwa wachezaji wake. Juzi, Simba Queens ilipata ushindi wa bao 1-0 mbele ya Alliance Girls katika Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza na kutibua rekodi ya…

Read More

Tume ya Jaji Chande sasa kuwa faragha

Dar es Salaam. Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 imeanza kufanya kazi zake faragha, ikiwazuia waandishi wa habari kuingia katika ukumbi ambao waathirika wa matukio hayo wanawasilisha ushahidi wao. Rais Samia Suluhu Hassan aliunda Tume hiyo kufuatia maandamano yaliyotawaliwa na vurugu siku ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025,…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA UJUZI WA WAKULIMA

NA DENIS MLOWE, IRINGA NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mheshimiwa Rahma Kisuo, ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kwa mageuzi makubwa katika sekta ya kilimo na uendelezaji ujuzi, wakati akifunga mafunzo ya wakulima na wasindikaji wadogo sambamba na kuzindua Muongozo wa Kitaifa wa Uratibu wa Mafunzo ya Kuongeza…

Read More