Moloko kuibukia Ligi ya Championship

ALIYEKUWA kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani Jesus Ducapel Moloko amekamilisha usajili wa kujiunga na Mbeya Kwanza ya Tabora inayoshiriki Ligi ya Championship, baada ya kusaini mkataba hadi mwisho wa msimu huu. Nyota huyo aliyewahi kuitumikia Yanga kuanzia Agosti 13, 2021 hadi Januari 28, 2024 akitokea AS Vita ya kwao DR Congo, amejiunga na Mbeya Kwanza…

Read More

BOT kumuenzi Mtei, Gavana aeleza alivyojitoa sadaka

Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba amesema taasisi hiyo itaendelea kuienzi misingi ya awali aliyoweka na mzee Edwin Mtei akimtaja kama mtu aliyejitoa sadaka katika kipindi chake cha uongozi wa taasisi hiyo. Mtei (94) aliyefikwa na umauti Januari 19,2026  alikuwa Gavana wa kwanza wa BoT kuanzia mwaka 1966 na miaka 12 baadaye akawa…

Read More

Bibi asimulia alivyotelekezwa mochwari vurugu za Oktoba 29

Dar es Salaam. “Nilitelekezwa kwenye chumba kwa zaidi ya saa tano katika hospitali ya Mwananyamala nikidhaniwa nimekufa. Baadaye nilipoanza kukohoa ndiyo wakaulizana, vipi huyu bibi, kumbe bado ni mzima?” Hayo ni maneno ya Aurelia Joseph (75), mkazi wa Magombeni Kota, Dar es Salaam, ambaye amesimulia namna alivyowekwa mochwari kwa zaidi ya saa tano, akidhaniwa amefariki…

Read More

WAZIRI WA VIWANDA JUDITH KAPINGA ARIDHISHWA NA VIWANGO VYA UZALISHAJI ALAF

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga amefanya ziara katika kiwanda cha ALAF Limited, kinachoongoza katika suluhisho mbalimbali za ujenzi Tanzania na kusema ameridhishwa na viwango vya uzalishaji kiwandani hapo. Kapinga aliyekuwa ameongozana na viongozi wengine kutoka idara mbalimbali za wizara hiyo, alisema ALAF ni miongini mwa viwanda vya kuigwa kwani kimeonesha…

Read More

MAPINDUZI MAKUBWA UWEZESHAJI MITAJI KWA WACHIMBAJI WADOGO

▪️Wizara ya Madini na CRDB waingia makubaliano ya utekelezaji wa programu ▪️Wachimbaji wadogo kukopeshwa Mitambo ya Uchenjuaji (CIP), Vifaa vya Kuchimba na Fedha za Uendeshaji ▪️Kikundi cha SAZA GOLD FAMILY wakaribia kuanza kunufaika kupitia leseni ya uchimbaji iliyokuwa inamilikiwa na BAFEX ▪️Ni leseni aliyoelekeza Rais Samia kwa wachimbaji wadogo Dodoma. Ikiwa ni mkakati wa kuwawezesha…

Read More

FCT YAENDELEA KUWAWEZESHA WADAU ARUSHA KUPITIA MFUMO WA KIELEKTRONIKI

Msajili wa Baraza la Ushindani (FCT), Mhe. Mbegu Kaskasi,akizungumza wakati akifungua mafunzo kwa wadau na wafanyabiashara mkoani Arusha ya kuwajengea uwezo kuhusu matumizi ya mfumo wa usajili wa mashauri kwa njia ya kielektroniki (e-filing). ARUSHA: Baraza la Ushindani (FCT) limewahimiza wadau na wafanyabiashara mkoani Arusha kutumia kikamilifu mfumo wa usajili wa mashauri kwa njia ya…

Read More