Haya Hapa Matokeo ya Form 4 – 2025

Last updated Jan 31, 2026 Dar es Salaam, Januari 31, 2026 — Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika mwaka 2025 kote nchini. Akizungumza katika ofisi za baraza hilo jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa NECTA, Profesa Said A. Mohamed, amesema…

Read More

NECTA YATANGAZA MATOKEO KIDATO CHA NNE

 …….. Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania, Prof. Said A. Mohamed, ametangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Kidato cha Nne (CSEE) 2025 leo tarehe 31 Januari, 2026 jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa matokeo hayo, jumla ya watahiniwa 526,620 kati ya 595,810 waliopata matokeo wamefaulu mtihani huo, hatua inayodhihirisha…

Read More

SG AKAGUA UJENZI WA JENGO LA OFISI MTUMBA, DODOMA

-Amuelekeza Mkandarasi akamilishe jengo kwa wakati Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali linaloendelea kujengwa kwenye mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma. Ujenzi wa jengo hilo umefikia kiwango cha asilimia 73 na umegharimu jumla ya shilingi bilioni 16 na ili liweze kukamilika…

Read More

Ufaulu wa Form 4 Wapanda Hadi 94.98% – NECTA

Last updated Jan 31, 2026 Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika mwaka 2025 kote nchini. Akizungumza katika ofisi za baraza hilo jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa NECTA, Profesa Said A. Mohamed, amesema kuwa ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia…

Read More

Sakata la mafisadi latua Takukuru, yawasubiri Shabiby, Lugola

Dar es Salaam. Siku mbili baada ya wabunge wawili kuzungumzia uwepo wa mafisadi nchini, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru) imejitosa katika suala hilo huku ikisubiri maelezo kamili kutoka kwa wabunge hao ili wazifanyie kazi. Hata hivyo, wachambuzi wa siasa wamemulika kauli za wanasiasa hao wakihimiza haja ya hoja zao kufikishwa kwenye…

Read More

Bakhresa awapa vijana siri ya kutoboa kimaisha

Dar es Saalam. Uvumilivu, subira na bidii ni nguzo kuu za mafanikio katika biashara. Huu ndio ujumbe mzito unaotolewa na mfanyabiashara mkongwe na Mwenyekiti wa Bakhresa Group of Companies, Said Salim Bakhresa, kwa vijana wanaoingia kwenye ujasiriamali na mara kadhaa kujikuta wakikata tamaa wanapokutana na vikwazo vya mwanzo. Bakhresa, ambaye ni miongoni mwa wafanyabiashara wakubwa barani…

Read More